NMB/VODA huu wizi mtaacha lini?. Napiga *150*66# ili nipate huduma ya bank mkononi. Naambiwa huduma hii kwa sasa haipatikani, lakini nakuta kiasi cha Tsh 50 mmekata kwenye simu yangu wakati sijapata huduma.
Narudia tena *150*66#. Nafika hatua ya nne kuelekea huduma ninayohitaji, naambiwa...
Habari zenu wana jamii. Leo nimeona tuongeee kidogo kuhusu hawa askari wetu wa úsalama barabarani.
Ukiangalia hicho kiambatanisho hapo juu, hilo ni Kosa la barabarani ambalo askari amemuandikia dereva. Japo kuwa hilo Kosa inaonekana ni la kujitungia tu, lakini shaka yangu si juu ya hilo...
Kuna yale maneno ya mwisho hutokea unayasikia kwa bahati mbaya. Mwenzio anajua amekata simu kumbe bado iko hewani. Au anakosa subira na kuyaongea kidole kikielekea kukata simu.
Nilipigiwa simu na shangazi yangu. Tukaongea, then akaniambia hana hela ya sukari. Nikasema, nitakutumia shangazi...
Pia kama una AC, hapa panakuhusu.
Twende moja kwa moja kwenye mada. Watu wengi tunamiliki majokofu au friji lakini tunauelewa mdogo juu ya utendaji wa hichi kifaa. Kimsingi, kama mtumiaji hautakiwi kuwa na uelewa sana juu ya utendaji wa jokofu lako. Wataalamu au mafundi wanaohudumia jokofu lako...
Habari wakuu. Kwenye mtandao wa Zoomtanzania ambalo ni duka la mtandaoni, nimeingia na kukuta magari mengi ya mnada. Kuna gari nyingi naona zimeandikwa 'manada wa magari', kwa maana ya kwamba zinapatikana kwenye huo mnada.
Wakuu, kama kuna mtu ana uzoefu na huo mnada, naomba anishirikishe...
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.
Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika...
Nawauliza TRA, ile huduma yenu ya kusajili TIN number online bado ipo?. Siku ya tatu leo nimesajili TIN online lakini bado naambiwa ombi linashughulikiwa.
Kipindi kile mmeanzisha hii huduma ilikuwa ndani ya masaa kadhaa unapata TIN number yako.
Kwenye tovuti yenu kuna number ya whatsapp...
Huduma ya Kuhamia Mtandao Mwingine wa Simu Bila Kubadili Namba ya Simu ya Kiganjani (MNP)
UTARATIBU WA KUHAMA
Huduma ya hii itakuwezesha kubadili mtoa huduma wako wa simu za kiganjani Tanzania na kubakia na namba yako ileile. Ni huduma ambayo inakuwezesha kubakia na mamba yako bila kujali...
Habari zenu wakuu. Nipo maeneo ya Muheza town. Kama kuna mdau anayajua maeneo haya, anielekeze chocho moja matata ya kula raha. Si mbaya kama nikipata toto moja ya kitanga ikanikata huu msongo.
Kuna jamaa yangu yuko Zanzibar anataka kuniuzia gari. Na gari nikiangalia iko vizuri tu. Xtrail ya 2005 ananipa kwa mil 6. Ila sasa nasikia kuleta gari Bara toka Zanzibar unalipia tena ushuru. Je hiyo ni kweli?. Na kama ni kweli, kwa gari kama hiyo yaweza gharimu kiasi gani mpaka naiendesha huku...
Tanapa mmetangaza nafasi za kazi, ni vizuri. Lakini mnataka waombaji wote watume maombi yao kupitia 'online application system'.
Sijaona option nyingine ya kutuma maombi zaidi ya hiyo. Hivi huwa mnatathmini kweli hali ya Tanzania na watanzania?. Online application system huwa zina mlolongo...
Wadau, nilikuwa natafuta bidhaa za electronic kupatana dot com. Nikaingia kewenye forum ya electronics then camera and accessories. Bidhaa ya kwanza niliyokuta ni "karanga". Kama kuna mtu kazionja hizi karanga, naomba mrejesho jamani. Dah!
Mambo vp wadau. Mara kwa mara nimekuwa nikisikia mivutano ya wasanii wetu hapa Bongo, Hasa Kiba na Chibu. Hii mivutano yao imenisukuma kuandika japo kidogo kuhusu beef ama ugomvi wa msanii nguli wa Hip hop, Ladies Lover Cool James a.k.a ‘LL Cool J’ na bwana mdogo mmoja mbishi sana….Canibus a.k.a...
Wataalamu wanatumbia watoto huwa wana-act katika intelligent level baada ya ku-reason kulingana na mazingira na anachokielewa. Majibu ya watoto huwa yanafikirisha ama kushangaza. Juzi juzi nilipiga simu nyumbani nikawa naongea na dogo ana umri wa miaka mitano. Nikamuuliza unafanya nini, akajibu...
Nina Samsung galaxy tab 10.1, inawaka lakini ikifika kwenye logo 'SAMSUNG' ina-stuck hapo hapo. Nimejaribu ku-flash custom rom kwa kutumia Odin3 lakini ina-fail. Pia haiwezi hata kwenda kwenye hard reset. The only option unapata ni when unabonyeza power button + volume down kwa sekunde kama...
Nina Samsung galaxy tab 10.1, inawaka lakini ikifika kwenye logo 'SAMSUNG' ina-stuck hapo hapo. Nimejaribu ku-flash custom rom kwa kutumia Odin3 lakini ina-fail. Pia haiwezi hata kwenda kwenye hard reset. The only option unapata ni when unabonyeza power button + volume down kwa sekunde kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.