Search results

  1. Chillah

    Mikopo Kwa Wanafunzi Wa Elimu ya Juu (Vyuo vya Kati na Vikuu)

    Habari Watanzania wenzangu Napenda nami nitoa mchango wa mawazo katika hiki kilio wanacho kutana nacho wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania bara Pia mnivumilie kwa kuwa sio muandishi mzuri sana japo nimewiwa kuandika na Nina imani wapo watao nielewe japo kwa uchache wake na watakao kuwa na...
  2. Chillah

    Tangazo la Kazi Kwa Watanzania Ktk Kampuni ya Space X (Twitter) Nchini Marekani

    Watanzania tuchangamkie fursa hizi, wakenya wasije kuwapiga bao FaizaFoxy USSR Maghayo instanbul Pascal Mayalla Mshana Jr OKW BOBAN SUNZU FRANCIS DA DON Msanii Mpwayungu Village Bufa Kaka yake shetani UMUGHAKA ChoiceVariable
  3. Chillah

    Mwasisi wa TANU, Shushushu anayetajwa kufanya kazi na mashirika 8 ya Kijasusi duniani

    Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha Kama vuguvugu kutoka kwa bwana sykies nk Kwa heshima yako tafadhari tusaidie na uwasaidie hawa waandishi wetu wanao andika...
  4. Chillah

    Ukraine: upendeleo kwa watu weupe dhidi ya weusi, Mkuu wa WHO asema

    Umakini kwa Ukraine unaonesha upendeleo kwa watu weupe dhidi ya weusi, Mkuu wa WHO asema CHANZO CHA PICHA,EPA Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) anasema ulimwengu hautoi tahadhari sawa kwa dharura zinazoathiri watu weusi na weupe. Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema ni sehemu ndogo tu ya...
  5. Chillah

    Mnada wa vitu/vifaa mbalimbali halmashauri ya Korogwe

    Mnada halmashauri ya mji korogwe
  6. Chillah

    Waomba ajira serikalini lazima kuwa na kitamburisho cha NIDA kuanzia mwezi huu wa saba

    https://www.ajira.go.tz/2019/06/25/waombaji-wa-fursa-za-ajira-serikalini-watakiwa-kuwa-na-kitambulisho-cha-taifa-ifikapo-mwishoni-mwa-mwezi-julai-2019/
  7. Chillah

    Shocking details of mysterious owners of Kenya’s SGR firm

    Shocking details of mysterious owners of Kenya’s SGR June 2019 Kenya signed a secret agreement with the Chinese allowing a mystery company with unknown local shareholders to run the Standard Gauge Railway, documents seen by the Sunday Nation show IN SUMMARY · The company, Africa...
  8. Chillah

    18 Kenyan gov't websites hacked by Indonesian group

    The National Youth Service (NYS) and Integrated Financial Management System (IFMIS) are among host of government websites that were Monday attacked by an Indonesia hacker group, Kurd Electronic Team. The portals were attacked in the morning with hackers placing their logo on the landing pages...
  9. Chillah

    Je, Tundu Lissu kuwekwa kizuizini kwa mambo anayofanya?

    Kwa jinsi anavyoendelea na mikakati na harakati zake basi aendelee kuamini kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha. Atakumbuka mistari isemayo "Heshimuni Mamlaka zenu" Kama atafanikiwa kurudi nchini basi yeye hatokuwa wa tofauti na Mh. Abdul Jumbe aliyewahi salitiwa na Jasusi Maalim Sharrif wa CUF...
  10. Chillah

    Kisarawe inatoa huduma ya miche ya miti aina mbalimbali

    Wilaya ya kisarawe ina toa huduma ya Miti/miche ya aina mbalimbali... kwa mahitaji ya miti fika katika vitalu/vituo tajwa hapo kwenye website ya wilaya MNA karibishwa nyote... kumbuka haiuzwi ni bure... Announcement | Kisarawe District Council Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Chillah

    Mswada: Sababu 50 kuhusu mswada wa vyama vya siasa

    Kuna sababu baadhi 50 kwanni mswada huu wa vyama vya siasa una tija kwa nchi yetu... Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Chillah

    Zitto: Raha kupanda ndege za ATCL...

    Zitto alipata kuuliza maswali juu ya ndege kuchelewa kufika... nazani ilikuwa ziwahi kufika ili aweze kupata huduma ya ndege hizo... hakuwa na nia mbaya... na sasa ana faidi huduma ya ndege husika... safi sana... Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Chillah

    UDSM: Kongamamo la ujamaa na uzalendo

    Karibuni watanzania wote na wasio watanzania kwenye kongamano hili la uzalendo na ujamaa... Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Chillah

    Kipanya: Ume mdharirisha CAG...

    Dooh CAG amedhallika sana... hadi na wachora katuni, amekuwa kifurushi kisicho thaminika... kime ning'inizwa tu, kina subiri kama kukatika au MTU wa kukiokoa kisije potea mbali... Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Chillah

    CCM: Yazidi kupiga hatua ktk kampeni zake

    Chama cha mapinduzi (CCM) chini ya uongozi makini kina zidi kuji imarisha katika kampeni zake mbalimbali hapa nchini na Nje ya Nchi... Za nje ya nchi tuta kuja nazo siku nyingine... Sent using Jamii Forums mobile app
  16. Chillah

    Dkt. Tulia A. M katika ubora wake

    Naibu spika wa bunge na mkuu wa taasisi ya Tulia trust ana zidi kufanya shughuli muhimu za kijamii mkoani mbeya... wakazi wa mbeya mmependelewa sana hii fursa msiache iwa pite... wengine wana itamani ktk mikoa waliyopo lakini ndio hivyo... Sent using Jamii Forums mobile app
  17. Chillah

    Orodha ya walio chaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka 2019

    Nimepata hii taarifa ya walio chaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2019 kutoka wilaya ya masasi... Announcement | Masasi District Council Wengine wenye orodha ya mkoa au wilaya waliopo tusaidiane kupeana taarifa...
  18. Chillah

    Zitto ana tuvuruga na picha ya Membe Ughaibuni

    Una tutisha au una mtisha??? Zitto usitupe wasiwasi sisi watanzania wenzio...! Hofu hatuja zoea...! sisi tumezoea kuambiwa maendeleo ya miradi kama SGR, japo stigila siisikii sana... liganga na mchuchuma... mbowe kizuizini... haya ya jumapili na magwanda tumezoea kidogo ktk korosho na forex huko...
Back
Top Bottom