Search results

  1. MENERIKI II

    Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

    Hari zenu wana JF, Kuna gari aina ya IST imeibwa leo, yeyote atakaeiona naomba atupe taarifa simu 065 954 6653 078 495 5561 T. 441 DZD Chassis number NCP600134788 Engine number 2NZ2983316 Kuna zawadi nono kwa atakae fanikisha kupatika
  2. MENERIKI II

    Wajuzi njooeni mnijuze, hii ni nini?

    Habari wana Jf wenzangu Nimeokota mahala sasa sijui ni nini wanaojua msaada tujuzane
  3. MENERIKI II

    Ahadi yangu kwa Taifa Stars

    Habari wana JF wenzangu Mimi MENERIKI II naweka ahadi kwa timu yangu ya Taifa Stars, ikipata point 3 katika Kundi lake kila Mchezaji nitamnunulia SODA. Naomba ikiwezekana wafikishiwe hii taarifa ili wajitume walau waambulie hata SODA ya MENERIKI II.
  4. MENERIKI II

    Kuna ukweli wowote wa sadaka kupelekwa Vatican?

    Habari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki) Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio...
  5. MENERIKI II

    Kapata four ya 26 anataka kusoma Course ya MARINE TRANSPORT & LOGISTIC

    Kuna kijana wangu kapata four ya 26 anataka kusoma Course ya MARINE TRANSPORT & LOGISTIC. Wajuzi wa hii Course naombeni uzoefu wenu ktk soko la ajila. Nawasilisha
Back
Top Bottom