Hari zenu wana JF,
Kuna gari aina ya IST imeibwa leo, yeyote atakaeiona naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 441 DZD
Chassis number NCP600134788
Engine number 2NZ2983316
Kuna zawadi nono kwa atakae fanikisha kupatika
Habari wana JF wenzangu Mimi MENERIKI II naweka ahadi kwa timu yangu ya Taifa Stars, ikipata point 3 katika Kundi lake kila Mchezaji nitamnunulia SODA.
Naomba ikiwezekana wafikishiwe hii taarifa ili wajitume walau waambulie hata SODA ya MENERIKI II.
Habari wana JF kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Leo kuna rafiki yangu mmoja nimemsikia akisema kuwa kuna sadaka wanazo changia kanisani (Kanisa Katoliki) zinaenda Vatikani. (Yeye ni mkatoliki)
Hili kwangu ndio kwanza nalisikia kwa huyu rafiki yangu, sikutaka kumbishia kwakua mimi sio...
Kuna kijana wangu kapata four ya 26 anataka kusoma Course ya MARINE TRANSPORT & LOGISTIC.
Wajuzi wa hii Course naombeni uzoefu wenu ktk soko la ajila.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.