Search results

  1. Ok9

    Mnaotumia X, mnapataje access?

    Tangu inatanet iwe changamoto kuna baadhi ya apps bado siwezi kutumia. Moja wapo ni x. (twitter) nyie mnaipataje.?
  2. Ok9

    Wanaokooesha simu hakuna namna ya kuwazibua?

    Kumekuwa na wimbi kubwa la kukopesha simu... Unalipa kidogo kidogo kama mtambo wa sola. Hajapatikana mtu wa kubadili either IMEI au chochote ili simu iwe free? Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
  3. Ok9

    Hii namba 15385 ya tiktok ni kweli?

    Hawa wanaosema follow like comment hii namba 15385 kisha share...then baada ya saa 2 utapata kiasi cha malipo unachostahili ni kweli? Kuna yeyote ameshapata? Maana video nyingi zina hizo namba. Naamini humu kuna waliokwisha fanya hyo kitu.
  4. Ok9

    Gwajima alionya ujio wa 5g

    Kipindi korona inaanza kuingia Tanzania. Mchungaji Gwajima alionya sana ujio wa 5g kwamba ndio unaoleta hii virus. Sasa leo voda wamezindua. Jeee? Amesema chochote tena?
  5. Ok9

    Hologram ni nini?

    Naona Voda wamezindua 5g na hologram, hiki ni kitu gani? Au ni kama WhatsApp ya Voda?
  6. Ok9

    Baada ya kumzika Mama

    Ndugu zangu wapendwa habari za muda mrefu tena. Naomba kuambatanisha uzi https://www.jamiiforums.com/threads/mliofiwa-na-wazazi-mama-mliwezaje-kuvuka-kipindi-hiki.2012960/page-8#post-43564101 Ninajitahidi kuzoea hali ya kutokuwa na mama ila bado siamin kama ndo mazima. Inauma lkn hakuna...
  7. Ok9

    Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

    Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza. Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza...
  8. Ok9

    Msaada: Namna ya kupata nakala ya online ya kitambulisho cha NIDA

    Habari, Namba ya NIDA ninayo ila nina shida ya online copy naomba namna ya kupata.
  9. Ok9

    Series ya STAMINA

    Wiki iliyopita stamina alitoa wimbo mmoja wa future wife. Hapa katk verse ya kwanza alikuwa anamwita aje popote alipo ila verse ya 2 alimwambia asubir kwaza mambo sio poa. Ila mwisho kaletewa bi dada na kapata mimba. Mwendelezo wa 2 STAMINA ft 🍌 banana zoro wimbo UKIZALIWA . wimbo huu...
  10. Ok9

    Ipi imekaa njema oppo a16 na Redmi 10c

    Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16 Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi nyuma... Nichambulieni ipi itakuwa zaidi ya mwenzake
  11. Ok9

    Ewe wakala wa Vodacom swap line hapa

    pata huduma ya sim swap kwa voda com. Wakala unatakiwa kuwa na Kibati cha swap tu. Njoo https://chat.whatsapp.com/L6rD40gllTM2TDA0E6O2ga
  12. Ok9

    Bei ya pamba inaumiza

    Naomba kilio hiki kifike mamlaka husika. Mwaka juzi kilo ya pamba tuliuza kwa 1200 Mwaka jana tuliuza kwa 1100 Mwaka huu bei elekezi ni 1200. Naomba mtambue kuwa msimu ulikuwa mbaya sana. Hapakuwa na mavuno kwa upande wa mazao ya kilimo kutokana na kukosekana mvua. Ndiposa tukalima kwa wingi...
  13. Ok9

    Mchepuko unanihamamasisha kujisajili 0713

    Nimekutana na kamchepuko kamoja ni ka kijjn tuuuu sidhani kama kama ujanja wa kutumia Tigo...... Muda wa kupima oil mara nikagusa kule....tobo laini....dole likazama..... ...ohooooo kakatikia madole hadi nikapiz nje...... Nikajiuliza ni mdogo wake ammber? Bora nisikarudie tena maana nikienda...
  14. Ok9

    Ile dhana ya wanyonya damu ilikuwa ni kweli?

    Miaka ya 80-90 tukiwa wadogo kuna uvumi kwamba kuna wanyonya damu. Hata tukiona magari ya red Cross tunakimbia Sana. Hawa wanyonyadamu walikuwepo kweli au ndo ile danganya toto? Nimemkumbusha mke wangu nae kwao walikuwa na hiyo dhana....vp maeneo mengine? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Ok9

    Vitambulisho vya wamachinga vyawa mradi wa seriali

    Nilipoona Rais ænagawa Vitambulisho vya wachinga.....naona limekuwa agizo kwa kila RC . Imetangazwa kila mfanya biashara mwenye mtaji chini ya mil 4 had muuza nyanya pembezoni mwa barabara awe nacho. Usipochukua utalipia elf 9 kila mwezi . Tangu kutoka kwa tangazo hilo naona walokuwa na mitaji...
  16. Ok9

    Maendeleo na figisu za Serikali

    Ni muda mrefu tangu kupita kwa umeme kjijini kwetu(nilipo kwa sasa)bwana mmoja akatoa ufadhili wa Transfoma na nguzo. Alichoahidiwa angefungiwa tangu June. Akatoa kipaumbele kwamba waunganishe kwanza zahanati ni ya Serikali pamoja na shule halafu nyumbani kwake. Hizi zote ni gharma zake wala...
  17. Ok9

    Naibu Waziri wa Afya: Wanaopima uti na typhoid wanadanganywa majibu

    Naibu waziri ameyasema hayo kutokana na wagonjwa kupewa majibu ndani ya nusu SAA baada ya kupima,angali inahitajika SAA 72 kupata majibu sahihi. Hivyo watz wengi tumekuwa tukitibu vitu kwa nadharia....hii inachangia usugu Wa dawa
  18. Ok9

    Naomba kujuzwa juu ya safari za treni

    Habarini wana jamvi... Naomba kujua safari za treni zipoje...kutoka morogoro -mwanza.. Ratiba yake Na nauli. NB. Nimeangalia kwenye website wao sioni kitu
  19. Ok9

    Naomba kujuzwa juu ya safari za treni

    Habarini wana jamvi... Naomba kujua safari za treni zipoje...kutoka morogoro -mwanza.. Ratiba yake Na nauli. NB. Nimeangalia kwenye website wao sioni kitu
  20. Ok9

    Mwanaume usimjaribu mwanamke kwenye swala la Pesa....utalia

    Mwaka 2012 Nilikuwa Na rafiki Wa kike tukazoeana kimtindo.... Baada ya mawasiliano ya karibu sana nikajjsemea.....ngoja nijaribu kama ananiamini...... Nikamwomba elf 5.. Nimrudishie baada ya Siku 2. Kweli akanitumia....Na baada ya Siku 2 nikamrudishia....akaanza ungekaa nayo...
Back
Top Bottom