kama heading inavosema, sisi kwetu mgonjwa wa mafua sugu tokea zamani anaweza akatumia tangawizi, maji ya moto, ndimu , na majani ya mti mmoja hivi jina nimelisahau, ila harufu yake ni kama dawa ya mswaki
kwa nimonia, hatukuwa na namna, tulienda hospital,
vipi kwenu? embu tuambie hapa...
kama kichwa cha habari hapo juu
1. ukiona umezaa na mwanamke watoto zaidi ya mmoja na bado unamuona hafai kumuoa jua hujajitambua
2. ukiona uko kwenye chama fulani halafu hupendi kinavoendaenda ila huwazi kutoka jua wewe bado kujitambua
3. ukiona umefika chuo kikuu na fani unayosomea hujui...
Hi guys, Nina kitu kinanikera kwa mshikaji wangu, nahitaji ushauri wenu mana najua ninayekereka si mimi tu
I have a best friend, yuko helpfully when it comes to problems,muwazi kwangu na kiukweli ana utu
Lakini huyu jamaa ana mambo haya siyapendi.. Kwanza anaongea sana kunizidi mimi, kwa hiyo...
NI HIVI ,, UMEMALIZA COURSE WORK KTK LEVEL YA POSTGRADUATE.
UNAPEWA SUPERVISOR, HAKUTAFUTI WE NDO UNAMTAFUTA ,BAADA YA MUDA UNAGUNDUA NI MVIVU,
SIJUI ANA MAMBO MENGI,,,SASA NATAKA MTOE USHAURI,,
JE ALT INAWEZA KUWA NI EXTERNAL SUPERVISOR, ?
LAKINI JE, UNARUHUSIWA KUTAFUTA EXTERNAL SUPAVISOR...
kwanza nina imani ndogo na uzalendo unaoenda kujengwa kwa vijana huko jkt,,kipindi cha ujamaa walifanikiwa kwa sababu babu aliwabana kwenye kumiliki mali,,wote tukawa sawa, hata ukiiba huwezi kununua chochote na hata ukinunua labda uchimbie chini kama watu flani walivyofukia matrekta huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.