hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 847
- 1,255
kama heading inavosema, sisi kwetu mgonjwa wa mafua sugu tokea zamani anaweza akatumia tangawizi, maji ya moto, ndimu , na majani ya mti mmoja hivi jina nimelisahau, ila harufu yake ni kama dawa ya mswaki
kwa nimonia, hatukuwa na namna, tulienda hospital,
vipi kwenu? embu tuambie hapa
NB:kufika hospitali kila unapohisi viashilia vya corona ni muhimu kwa afya yako.
kwa nimonia, hatukuwa na namna, tulienda hospital,
vipi kwenu? embu tuambie hapa
NB:kufika hospitali kila unapohisi viashilia vya corona ni muhimu kwa afya yako.