Search results

  1. J

    Fanya uchaguzi sahihi kabla ya kukata tiketi

    <STYLE><!--#yiv2071269218 a:link {}#yiv2071269218 span.yiv2071269218MSOHYPERLINK {}#yiv2071269218 a:visited {}#yiv2071269218 span.yiv2071269218MSOHYPERLINKFOLLOWED {}#yiv2071269218 p.yiv2071269218MSOACETATE {}#yiv2071269218 li.yiv2071269218MSOACETATE {}#yiv2071269218...
  2. J

    waheshimiwa wakiburudika

  3. J

    Hormons nyingi zinasababishwa na nini?

    binadamu wa kawaida asiyekuwa na tatizo lolote anatakiwa awe na hormons kiasi gani? nini kinasababisha kupungua au kuongezeka kwa hormons? Na kwa watu wenye hormons nyingi kupita kiasi cha kawaida cha binadamu tatizo linakuwa ni nini? Na mtu mwenye hormons kiwango mia nane na zinaongezeka ni...
  4. J

    Mchemsho wa Ndizi Kwa samaki

    Mchemsho wa Ndizi Kwa samaki Ndizi mshare au ndizi kimalindi au za mbea tano(5) inategemea na familia yako samaki nusu kilo wabichi sato itakuwa nzuri zaidi nyanya moja kitunguu kimoja karori moja pili pili hoho mafuta vijiko viwili vikubwa 1. Osha samaki wako vizuri hakikisha wametakata mpaka...
  5. J

    Matibabu ya Jipu

    Ni tiba gani inaweza kutumika kwa jipu lililochimbika kutokana na maumivu makali halikuweza kukamuliwa likaisha, kuna tiba yoyote ya kukausha bila kukamua?
  6. J

    Mwalimu wa ala za muziki

    Kama kuna yeyote anamfahamu mwalimu wa ala za muziki au yupo hapa naomba uni PM
  7. J

    Msaada pls

    mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa tisa, tupo kwenye process ila jan amegundua mchumba wake ana mwanamke na mtoto mchanga wa miezi mmitatu wamefanana kama mapacha, alizaa naye akiwa arusha amemleta dar amempangia nyumba ila jamaa ni smart imetumika trick kali sana kumnasa, mdogo wangu...
  8. J

    Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

    Nimekuwa nikionana wamama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watotot wao wa kiume bila sababu maalumu hii inasababishwa na nini. Kuna kijana mmoja (true story0alilelewa kwenye kituo cha watoto yatima tangu mwaka 1978, amekuwa mkubwa akaamua kumtafuta mama yake, mama yake alimpeleka hapo...
  9. J

    Maumivu ya mtoki

    habari zenu wapendwa Nina mdogo wangu anaumwa sana mtoki tangu juzi, hana kidonda wala infection yoyote. akienda hospital doctor anamwambia anywe dawa za maumivu tu na hazimsaidii. Ila kuna mtu kaniambia kwamba mawazo makali sana pia yanasababisha mtoki tena ambayo umeyawaza masaa matatu...
  10. J

    mtoto wa nje anaweza kuzuia ndoa isifungwe

    Kaka yangu anaoa tarehe 24 April, bado wiki 1 ndoa ianze kutangazwa, wiki 1 moja iliyopita kapigiwa simu na binti 1 akajitambulisha kwake wanajuana waliwahi kuwa na uhusiano mwaka 2004 wakaachana alimfumania msichana, kumbe wakati wanaachana msichana alikuwa na mimba hajijui wakapoteana msichana...
  11. J

    unatakiwa kuomba ruhusa au kuaga

    nimeikuta www.harusiyangu.com wanandoa wakati unatoka unatakiwa umuage mwenzako au uombe ruhusa?
  12. J

    karibuni sana

    Wapedwa kwa wale mlioko dar, Nawakaribisha kwenye ufunguzi wa huduma ya Ngurumo ya Upako hapa dar es salaam, itafanyika kwenye viwanja vya Tanganyika pakers Kawe, na ibada zitakuwa zinaendelea hapo kila jumapili, Mtumishi wa Mungu Geor Davie atakuwepo kukuhudumia. Mimi ni muumini wa kanisa...
  13. J

    ingekuwa wewe ungefanyaje?

    Nina rafiki yangu, alitegemea kufunga ndoa dec thisyear, Jana amemuacha mchumba wake waliyekaa 5 years tangu urafiki hadi uchumba. huyo mchumba wake katoka arusha kaamia hapa dar huko maeneo ya kimara kwa biashara zake. Hapo kwake kuna kisima cha maji , kwa hiyo majirani wanakuja kuchota...
  14. J

    MWafrika kwenye sherehe

    Mwafrica mmoja mwanaume, alialikwa kwenye sherehe na wazungu huko ulaya, sasa akaamua asivae nguo aende uchi, alipofika wazungu wote wakamzunguka wakamwambia suti yako nzuri , Lakini mbona hiyo tai umeifunga chini sana. ( wazungu walivyoona uume wa mwafrika walifikiri tai inaning'inia sasa...
  15. J

    matatizo ya meno

    Nina matatizo ya meno yananiuma sana, hayajatoboka ni mazima kabisa yanauma tu na wakati mwingine nasikia yanatingishika nimeshamuona daktari akaniangalia angalia hapo, akanishauri dawa za kupigia mswaki lakini kila mara tatizo linajirudia mwenye kujua naomba anisaidie, pia nimeshatumia dawa ya...
  16. J

    msaada please

    watu mnapokutana na kuanzisha uhusiano inachukua muda gani mpaka muamue kufunga ndoa? mnaweza kuwa kwenye uhusiano na mtu baada ya miezi mitatu akwambie anataka mfunge ndoa kwa hiyo muanze maandalizi? nataka disadvantage na advantage na huwa ni kawaida vitu kama hivi au kunakuwa na tatizo
  17. J

    Nini hutokea baada ya kufa?

    Kuna habari nimezisikia kutoka kwa watu mbali mbali kwamba mtu anapokufa, akazikwa zile siku tatu yaani siku alipozikwa unahesabua ya kwanza unaongeza siku zingine mbili anakuwa bado yupo duniani anatembea tembea, na anamfuata yule mtu aliyekuwa anampenda sana au wanaelewana kama ni mchana...
  18. J

    kwa nini ndugu wanapenda kugombania mali

    Mimi nashangaa mwanaume anapofariki kama alikuwa na mke au mchumba wanaanza kumsakam huyo mwanamke na kudai anajua mali za mtota wao zilipo. Kuna rafiki yangu mchumba wake amefariki juzi amezikwa jana aliuwawa na majambazi huko kampala na ilikuwa afunge ndoa na mchumba wake wiki mbili...
  19. J

    Jamani msiwaseme vibaya watumishi wa Mungu

    Juzi jpili nilihudhuria kwenye maombi ya ngurumo ya upako na nabii geor davie ambaye aliendesha maombi kwenye ukumbi wa diamond jubilee kwa kweli yesu anatenda miujiza pamoja na kwamba watu watasema mengi lakini nimeshuhudia kwa macho yangu , mimi sitakiwi kujua anatumia nini na anafanya nini...
  20. J

    jikumbushe st. margaret Marangu Girls

    Kwanza nadhani kwa wote waliosoma st. Magret wanakumbuka jinsi tulivyolima mashamba na kung'oa visiki vya kahawa. Je mnakumbuka tulivyokuwa tunacheza netball na Ashira Girls wanatufunga tunawazomea tunawakimbiza na makele. Mnakumbuka mto chapadindi siku ya shida ya Maji tunaenda kuoga...
Back
Top Bottom