Recent content by zagarinojo

  1. zagarinojo

    Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

    Tena ni simple economics tu serikali ina maana Haina wataalamu wa uchumi kujua Hili suala linaenda naturally tu..
  2. zagarinojo

    Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

    Hapa serikali inanichekesha Sasa kama sukari ya nje ilikuwa imeshaagizwa tayari na inakuja kulikuwa na haja gan ya kujidai kwamba wanajali wananchi na kufatilia bei ya sukari na kukamata wafanyabiashara Kwa show off kwenye TV sukari ya nje ikishakuja na bei ndogo yenyewe tu itasababisha...
  3. zagarinojo

    Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

    Hii issue mfumo serikali iliotumia kupanga bei elekezi una walakini kwanini wasifuatilie bei kutoka kiwandani wao wameanza na dealer kwanza dealers wenyewe wameachwa tu ila wanaenda kudeal na wafanyabiashara wadogo wasio hata na kosa lolote
  4. zagarinojo

    Artificial Intelligence (Akili bandia): Tufurahi au tupo hatiani?

    Akili bandia(Artificial intelligence) ni miongoni mwa teknolojia za kizazi cha 5 cha computer zilizoanza kushika kasi sana. Nimetazama video mbali mbali kuhusu Akili bandia na matumizi yake baadae imeniogopesha sana. Sijazama sana kiundani na kuifanyia utafiti. Lakini nimewahi kusikia kuhusu...
  5. zagarinojo

    TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz

    Hata ukihamishia Rwanda au Kenya as long as una uraia wa Tanzania utalipa Kodi ya Tanzania kulingana na sheria ya Kodi inayohusiana na Residence... Labda kama atakana uraia wa Tanzania na kuomba uraia wa Kenya
  6. zagarinojo

    Sababu ya Harmonize na Kajala kuachana (Hii ni fundisho kwa wadada na wamama wengine pia wenye tabia kama hizi)

    Tatizo watanzania tunajidai tunapenda kujadili concrete issues wakati hata ujadili haikusaidii chochote... Chukulia maisha simple tu.. Kwani ulazima gani wa Kuanza kujadili mara Deni la Taifa mara Katiba mpya wakati unajua maoni yako hayafiki popote.. Mtu akiandika kitu unaskia eti watanzania...
  7. zagarinojo

    Tumemaliza rasmi ubishi wa nani zaidi kati ya Messi na Cr7

    Pale mtu anapoona ameshindwa kubishana kwa facts badala yake anaanza kugusia personal issues [emoji23]
  8. zagarinojo

    Kwanini walimu hawazeeki mapema?

    Kwa fikra zangu nafikiri ni kwasababu ya pyschology.. kwasababu Walimu muda mwingi wanautumia wakiwa na Vijana na watoto.. basi hii inapelekea Pyschology na akili zao kujivika utoto ingali ni watu wazima.. Hivyo cells za mwili zinafanya adaptation kulingana na ubongo wao kukaa kwenye Mazingira...
  9. zagarinojo

    Je, Mafanikio yana Formula? Kufanikiwa ni mbinu au bahati?

    Habari Wana Forum, naimani mu wazima wa afya. Kabla sijaanza naomba radhi kwasababu ntatumia code mixing na code switching Ili kurahisisha ujumbe. Kila mmoja ana jinsi yake ya kudefine na kuyaelewa Mafanikio. Lakini nijikite zaidi kwenye Mafanikio ya kiuchumi. Kichumi lakini pia kwa mtu...
  10. zagarinojo

    Jichunguze hapa kama wewe au mtoto wako mnatatizo la Dyslexia

    Maisha ndivyo yalivyo some people are there to create critics in each and every matter somebody puts In life. However we've been taught not to listen to No sayers.. I practically think his words won't act as stick to pull you back but a go ahead Insipirational.. [emoji120][emoji120]
  11. zagarinojo

    Kongole kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Ukisoma Hadi mwisho utaelewa kwanini Mwandishi Amesema ameandika huku analia Wa Kuyafuta Machozi ashatangulia nimetumia tu njia ya kejeli sifurahishwi na kilichoandikwa
  12. zagarinojo

    Kongole kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Soma hadi mwisho utaona Mood ya muandikaji Amesema ameandika akiwa analia...ametumia muundo wa kejeli kuwasilisha mada
  13. zagarinojo

    Kongole kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Labda ipo siku kilio chao atakisikia Mola muumba Mbingu
  14. zagarinojo

    Kongole kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Nafurahi siku nikija Dar arena ya Wasanii itakuwa tayari na Treni ya Umeme pia sina hakika kama Umeme utakatika wakati Treni iko Katika mwendo...
Back
Top Bottom