Recent content by Wimbo

  1. Wimbo

    Pongezi kwa CDF Mstaafu Mabeyo kutuvusha katika kipindi kigumu, baada ya hapo kwanini Katiba haikulindwa?

    Pongezi kwa Mabeyo Mkuu wa majeshi Mstaafu kwa kusaidia kutuvusha katika kipindi kigumu, baada ya hapo suala la kuifunga awamu kipindi kinachompa ruhusa ya makamu wa Rais kushika madaraka kwanini ilitokea kizungumkuti na kuamua kubadili gear angani nakuanza awamu mpya awamu ya sita lengo...
  2. Wimbo

    Si lazima mtu afe ndiyo mtaa upewe jina lake

    Hakuna shaka kwamba Mama Maria Nyerere, atadumu katika historia kama mke wa mwasisi wa Taifa letu. Kama ukili wetu ukiona mafanikio ya mwanamme basi nyuma yake kuna mwanamke mwenye busara. Tusingoje Maria afe ndo tumpe mtaa.
  3. Wimbo

    Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

    tre bien wenzetu walinyolewa sisi tutie maji kwa maana ya kuweka mikataba ya maslahi bora kwa Nchi yetu, ufaransa sasa hivi inajitafuta na hii ni fulsa kwetu, wachimbe ulanium mikoa ya kusini ambayo mwamerika ameweka kama reserve wakati sisi tuna njaa ya pesa mjazano wa nikeli kababnga na...
  4. Wimbo

    World Bank suspends Tanzania tourism funding after claims of killings and evictions

    it is a pity to loose this amount of money, politics versus economic and poor management factors this must be observed ,most of cattle herders are not originality occupancy of this area they are Masais and Sukuma who have destroyed there area and they shift to other ares to look for...
  5. Wimbo

    Betting, michezo ya kubahatisha ni dhambi hata kama inaingizia nchi pesa nyingi

    Naliomba Bunge tunapofikia kujadili ustawi wa jamii michezo ya kubahatisha toeni sauti Taifa linaangamia, hata kama Mwigulu anaona ni sawa tu kwa kuwa pesa inaingia, faida ya pesa inayopatikana na madhara ya michezo hiyo kwa Taifa ni ni sawa na tone. Mwenyezi Mungu ameharamisha betting kwa nini...
  6. Wimbo

    Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali

    tulichelewa sana kufika hapo, tena ikiwezekana wawekwe wakandalasiwatano na wapewe miezi 12 tu ikutane na uchaguzi wa next year. bora hawa wajenge kuliko hao wanaokusanya na kuweka ng'ambo. Mama kazi iendelee.
  7. Wimbo

    Waziri Bashungwa: Wanafunzi Wapewe Elimu ya Matukio ya Dharura

    Jana Mheshimiwa Bashungwa mbunge mwenye sifa rukuki alitufungulia Bweni la shule ya KARADEA yenye capacity ya vitanda 320 waoo. Pamoja hotuba yake nzuri ya kuwaomba walimu wawafundishe watoto namna ya kujikinga na ajari mbalimbali, lakini hilo Bweni peke yake ni ajari unawezaje kuwaweka watoto...
  8. Wimbo

    Madam samia: Huu si wakati muafaka kufanya uchaguzi

    Ukipenda unaweza kuchukua ushauri huu, huu si wakati muafaka wa kufanya uchaguzi kabla katiba haijakaa sawa, moja ya jambo muhimu miiko ya kulinda tunu na uchumi wa Taifa bado inahitaji maboresho vinginevyo kila mmoja atakayeingia ataanzisha yake na kulipa muzigo Taifa kama unavyohangaika hivi...
  9. Wimbo

    Tuzo za Malkia wa Nguvu zinahitaji marekebisho

    Ahsante Clouds aksante Kusaga and your team, kuna watu wamefanya mambo makubwa, pengine record zao si rahisi kuzivuja, mfano Mama Mongera na spika mstaafu Makinda na wengine wengi wameshapewa tuzo nyingi na pengine idadi yake hawaimbuki; Lengo la tuzo ni kukumbuka mchango wake lakini la muhimu...
  10. Wimbo

    Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

    nipeni majibu baraza la Rais Mwinyi zanziber lina wakristo wangapi? kwani taifa hilo ni la Waislamu pekee?
  11. Wimbo

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    madaladala mengi ya wakubwa ndiyo sorce ya hujuma ili wapige pesa, fanyeni hivi wauzieni yote ikibidi kila mmoja aweke nembo yake musiajiri madereva wala makondactor ninyi tozeni kodi kwa kila basi kwamwezi, siyo rahisi kwa mtazamo wa biashara ya kidunia serikali kufanya biashara mabasi ambayo...
  12. Wimbo

    Maswali kwa Waziri Mkenda kupata ufafanuzi sababu za kuunda combinations mahususi za dini Sekondari

    wanasema wahenga ukitaka kuona nyeti za kuku subili upepeo upulize
  13. Wimbo

    Ni ngumu sana kumpata Mwanamke kama Tulia Ackson. Ana uwezo mkubwa, anafaa kuwa Rais

    Tumeshuhudia ubora wa utawala wa mwanamke Samia, nashawishika kuanza sala na maombi, kwa kuwa uongozi unatoka kwa Mungu ikimpendeza akitoka samia aingie Tulia Akson Ni mapema mno lakini wazo hili limweke kwenye hadhara watu wachambua strength na weekness zake mapema ili nuru ikiangaza juu yake...
  14. Wimbo

    Nimemshukuru Mungu kwa maisha ya Hayati Magufuli kwa ujenzi wa Daraja la Mto Wami

    Kwanza tusisahau kwamba hata hizo km 12000 mnazompa kikwete alisimamia yeyeJPM alifanya maamuzi magumu sana ambayo maRais wote waliopita hawakuthubutu, kuhamishia makao makuu kuwa Dodoma, ni uthubutu wa aina yake hiyo ni no revise, daraja la kigongo busisi i, natamani daraja likamilike tupite...
Back
Top Bottom