Mkuu,Nimekujiabu kwa sababu nina mudi nzuri ila ulivomalizia na neno Pumbavu Umenikosea sana.Kwanza kabisa Soma uelewe Msingi wa Hoja na Ushauri wangu kisha uchangie katika Msingi wa Hoja.Sidhani kama kuna ambacho nimekisema ambacho kinastahili wewe kusema Pumbavu.
All in All ni ushauri tu...
Mkuu Kuwa makini na kile unachokitamani.Lita Moja ya Biani zaidi ya 4000 ila Bei ya Mafuta inapswa kuangaliwa kwa makini sana.Ikiendelea Kupanda Bei ya Lita ya Bei itafika Milioni
Habari za wakti huu;
Kwanza niweke wazi kwamba Mimi Nimekulia Arusha.
Ninafahamu Fursa na Changamoto zilizoko Katika Mkoa wa Arusha na Ninatambua tabia na Hulka za Vijana wa Arusha.Kimsingi katika Mikoa Yote Tanzania Ukiondoa Wamasai Vijana wa Arusha ndio Jamii Pekee ambayo imeweza kutengeneza...
Simulizi yako imenivutia sana. Pombe ni Hadithi nyingine.
Kuna wale wakina SISI ambao Hiyo imekuwa ni kawaida ya maisha na mpambano wetu ni kutaka kuachana na hayo maisha.Ila Tutafika TU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.