Recent content by ubongokid

  1. ubongokid

    Wakuu hata kazi ya bure hamna?

    Mkuu Upo Serious Nikupe KAZI ya BURE?
  2. ubongokid

    Niliyoyaona leo nilipokwenda kusambaza barua za internship

    Mkuu Usife Moyo.Bado nafasi Unayo
  3. ubongokid

    Ushauri wa Bure kwa Wadudu-Msitumike Bila Manufaa

    Hivi unaelewa Msingi wa Hoja?Any way Ndivyo Watanzania Tulivyo.Ni vigumu Sana Kulitazama Suala Kwa Objectivity.Sio Kosa lako...
  4. ubongokid

    Ushauri wa Bure kwa Wadudu-Msitumike Bila Manufaa

    Mkuu,Nimekujiabu kwa sababu nina mudi nzuri ila ulivomalizia na neno Pumbavu Umenikosea sana.Kwanza kabisa Soma uelewe Msingi wa Hoja na Ushauri wangu kisha uchangie katika Msingi wa Hoja.Sidhani kama kuna ambacho nimekisema ambacho kinastahili wewe kusema Pumbavu. All in All ni ushauri tu...
  5. ubongokid

    EWURA imetangaza bei mpya za Mafuta, yamepanda bei tena

    Vitz sio GARI Mkuu,Hicho ni Kiti kinachotembea.We umewahi kuona VITZ Barabarani?Si kama Kigoda tu?
  6. ubongokid

    EWURA imetangaza bei mpya za Mafuta, yamepanda bei tena

    Kumbe uko Rashia bwana ambako lita ya BIA ni jero.Sasa unafurahia Ma V8 yetu tukiyapaki?Uchawi huo sasa Bei ya Lita ya Bia ikifika laki tutafanyaje?
  7. ubongokid

    Ushauri wa Bure kwa Wadudu-Msitumike Bila Manufaa

    Sio kwa Arusha Aisee.Watu wa Arusha Wana Tabia moja mbaya sana.Ukiwazingua wanakuzingua
  8. ubongokid

    EWURA imetangaza bei mpya za Mafuta, yamepanda bei tena

    Mkuu Kuwa makini na kile unachokitamani.Lita Moja ya Biani zaidi ya 4000 ila Bei ya Mafuta inapswa kuangaliwa kwa makini sana.Ikiendelea Kupanda Bei ya Lita ya Bei itafika Milioni
  9. ubongokid

    Ushauri wa Bure kwa Wadudu-Msitumike Bila Manufaa

    Exactly,Niemona Hilo Ndio maana nimetoa Ushauri kwao Kwamba SASA walazimishe Kutambulika kama Kikundi Maalum Cha kijamii chenye Maslahi Sahihi
  10. ubongokid

    Ushauri wa Bure kwa Wadudu-Msitumike Bila Manufaa

    Habari za wakti huu; Kwanza niweke wazi kwamba Mimi Nimekulia Arusha. Ninafahamu Fursa na Changamoto zilizoko Katika Mkoa wa Arusha na Ninatambua tabia na Hulka za Vijana wa Arusha.Kimsingi katika Mikoa Yote Tanzania Ukiondoa Wamasai Vijana wa Arusha ndio Jamii Pekee ambayo imeweza kutengeneza...
  11. ubongokid

    Sitasahau siku pombe zilitaka kunitoa roho

    Simulizi yako imenivutia sana. Pombe ni Hadithi nyingine. Kuna wale wakina SISI ambao Hiyo imekuwa ni kawaida ya maisha na mpambano wetu ni kutaka kuachana na hayo maisha.Ila Tutafika TU.
  12. ubongokid

    Safari ya Majaribio ya Treni ya SGR na Viongozi wa Dini kutoka Dar es Salaam - Dodoma kwenye Dua na Maombi ya Kitaifa

    Tutarajie Mengi Hasa ukizingatia wamechanganywa wanafiki kadhaa
Back
Top Bottom