Lengo kuu ni ukusanyaji wa kodi hayo mengine yote ni blabla tuKwenye hiyo taarifa ya EWURA kwenye (e) kuna hii maelekezo ni muhimu kwa wanunua mafuta kwenye vituo vya mafuta kudai risiti ya mafuta aliyouziwaView attachment 2977963.
Hapo gari kama ndogo na nzima km 48 hiviLt 6 za bia unaanza kuchemka
Lt 6 za mafuta unafika nazo wapi🤣
Hivi hatunaga askari kama wa west Afrika wanaowaondoa watawala dhalimu madarakani?TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA
PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 MEI 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe1 Mei 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Mei 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali
Na. 1 na 2, mtawalia.
JEDWALI 1: BEI KIKOMO ZA REJAREJA (SHILINGI/LITA)
Mkoa wa Dar es Salaam Petrol 3,314, Dizeli 3,196 Mafuta ya Taa 2,840
Tanga 3,360 3,242 2,886
Mtwara 3,317 3,200 2,913
View attachment 2977930
View attachment 2977945View attachment 2977946View attachment 2977947View attachment 2977948View attachment 2977949View attachment 2977950View attachment 2977951View attachment 2977952
MTANYOOOOOKAAA TU WENYE MAGARII YEBU MNAHISI ZIKE SHELI ZENUTAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA
PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 MEI 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe1 Mei 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Mei 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali
Na. 1 na 2, mtawalia.
JEDWALI 1: BEI KIKOMO ZA REJAREJA (SHILINGI/LITA)
Mkoa wa Dar es Salaam Petrol 3,314, Dizeli 3,196 Mafuta ya Taa 2,840
Tanga 3,360 3,242 2,886
Mtwara 3,317 3,200 2,913
View attachment 2977930
View attachment 2977945View attachment 2977946View attachment 2977947View attachment 2977948View attachment 2977949View attachment 2977950View attachment 2977951View attachment 2977952
Wanaopanga bei ya mafuta ndio wamiliki wa biashara za mafutaUkiona bei ya mafuta inapanda kwa kasi ya ajabu kila mwezi! Halafu ukipita kila sehemu (mpaka kwenye makazi ya watu) unakuta vituo vya mafuta navyo vinajengwa kwa kasi ya ajabu! Kwa mtu mwenye akili timamu, unapata majibu sahihi ya nini kinachoendelea nchini.
kwahyo mkuu kama mafuta ya bajeti hayakufikishi mwezi utaweka gari ndani?Mimi nilishaamua hata mafuta yafike 10,000/L bajeti yangu ya mafuta itabaki ile ile,sizidishi.
Maana yake kila zinapanda mpaka kodi ya nyumba sababu vifaa vya ujenzi ubebwa na gari ambazo gharama za usafiri zimepandaTAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA
PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 MEI 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe1 Mei 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Mei 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali
Na. 1 na 2, mtawalia.
JEDWALI 1: BEI KIKOMO ZA REJAREJA (SHILINGI/LITA)
Mkoa wa Dar es Salaam Petrol 3,314, Dizeli 3,196 Mafuta ya Taa 2,840
Tanga 3,360 3,242 2,886
Mtwara 3,317 3,200 2,913
View attachment 2977930
View attachment 2977945View attachment 2977946View attachment 2977947View attachment 2977948View attachment 2977949View attachment 2977950View attachment 2977951View attachment 2977952
Kuhudumia mwili lazima iwe gharama mkuu, maana mwili ndiyo kila kitu, Haya mapetroli yangeshuka hata yawe 1,000 kwa lita
Mkuu Kuwa makini na kile unachokitamani.Lita Moja ya Biani zaidi ya 4000 ila Bei ya Mafuta inapswa kuangaliwa kwa makini sana.Ikiendelea Kupanda Bei ya Lita ya Bei itafika MilioniHata Lita moja ya bia ni 4,000
Huku Russia bei chee mkuuMkuu Kuwa makini na kile unachokitamani.Lita Moja ya Biani zaidi ya 4000 ila Bei ya Mafuta inapswa kuangaliwa kwa makini sana.Ikiendelea Kupanda Bei ya Lita ya Bei itafika Milioni
Kumbe uko Rashia bwana ambako lita ya BIA ni jero.Sasa unafurahia Ma V8 yetu tukiyapaki?Uchawi huo sasa Bei ya Lita ya Bia ikifika laki tutafanyaje?Huku Russia bei chee mkuu
Kuna vitz mkuuKumbe uko Rashia bwana.Sasa unafurahia Ma V8 yetu tukiyapaki?Uchawi huo