BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,450
- 8,270
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA
PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 MEI 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe1 Mei 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Mei 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali
Na. 1 na 2, mtawalia.
JEDWALI 1: BEI KIKOMO ZA REJAREJA (SHILINGI/LITA)
Mkoa wa Dar es Salaam Petrol 3,314, Dizeli 3,196 Mafuta ya Taa 2,840
Tanga 3,360 3,242 2,886
Mtwara 3,317 3,200 2,913
PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 MEI 2024
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe1 Mei 2024 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Mei 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali
Na. 1 na 2, mtawalia.
JEDWALI 1: BEI KIKOMO ZA REJAREJA (SHILINGI/LITA)
Mkoa wa Dar es Salaam Petrol 3,314, Dizeli 3,196 Mafuta ya Taa 2,840
Tanga 3,360 3,242 2,886
Mtwara 3,317 3,200 2,913