Mkuu,Nimekujiabu kwa sababu nina mudi nzuri ila ulivomalizia na neno Pumbavu Umenikosea sana.Kwanza kabisa Soma uelewe Msingi wa Hoja na Ushauri wangu kisha uchangie katika Msingi wa Hoja.Sidhani kama kuna ambacho nimekisema ambacho kinastahili wewe kusema Pumbavu.
All in All ni ushauri tu...
Mkuu Kuwa makini na kile unachokitamani.Lita Moja ya Biani zaidi ya 4000 ila Bei ya Mafuta inapswa kuangaliwa kwa makini sana.Ikiendelea Kupanda Bei ya Lita ya Bei itafika Milioni
Habari za wakti huu;
Kwanza niweke wazi kwamba Mimi Nimekulia Arusha.
Ninafahamu Fursa na Changamoto zilizoko Katika Mkoa wa Arusha na Ninatambua tabia na Hulka za Vijana wa Arusha.Kimsingi katika Mikoa Yote Tanzania Ukiondoa Wamasai Vijana wa Arusha ndio Jamii Pekee ambayo imeweza kutengeneza...
Simulizi yako imenivutia sana. Pombe ni Hadithi nyingine.
Kuna wale wakina SISI ambao Hiyo imekuwa ni kawaida ya maisha na mpambano wetu ni kutaka kuachana na hayo maisha.Ila Tutafika TU.
Kwanza akaunti yako ni ya aina gani,Inacashflow kiasi gani,Una Hela?Maana wakati mwingine kulalamika kwa ajili ya 17000 kunaweza kuwa nako ndio chanzo cha matatizo.Wanaocha Ela zao Benki zikatwe ni wale wenye Bili kadhaa.Ila kama hela yako ya Mawazo we Tumia Tigo PESA,MPESA AIRTEL MONEY Kuweka...
Mkuu,Unaona SASA,Chawa wa Makonda ni nani?ni Mtu kama wewe ambaye unajificha nyuma ya Keyboard kusema maneno lukuki ambayo huna ujasiri wa kuyasema Wazi.Namkumbuka SANA Ben Saa nane.Aliwahi sana kuiacha Chadema.Angeweza Kumjibu Makonda Live mbele ya Kamera sio ninyi ambao mnajificha nyuma ya...
Hana Chuki Bwana.Ana mtazamo Potofu tu.We unafikiri mambo ambayo yanafanywa na Wana CCM kwa sasa na huko nyuma lazima uone kabisa kuna UFISADI ndani ya CCM ila unaweza kukuta huyu ana KADI ya CCM.Kwa siasa za BONGO hakuna sehemu ambayo kuna uzalendo hata wa uongo.iwe CHADEMA,IWE CCM,IWE ACT au...
Bwana we,Makonda kama kweli unahitaji Kupambana naye Kwa maneno lazima uwe naye Ground Zero na uende naye Bampa tu Bampa.Kupambana na Makonda nyuma ya Keyboard hakuna anayemuweze kwa Tabia zenu za Kinafiki na uoga.
In short Bada hakuna anayeweza kudeal na Makonda na Akamnyamazisha.Hata Magufuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.