acha upotoshaji kamanda,
si kweli,
hakuna aliechukua kazi ya mtu na kugawana kwenye ukoo wake, hilo halipo kabisa kamanda :spandauB:
mimi nafanya kazi ya wanainchi kwa bidii na weledi, kwa pamoja na wanainchi wenyewe. lakini jata siku moja siwezi kuzembea hata kidogo kazi yangu ya msingi na...
kwanza kabisa mihemko na maneno yako mbofumbofu ikusaidie wewe mwenyewe, pande hii ni useless kabisa:spandauB:
jambo la pili,
daima siwezi kuchoka wala kunyamazia upotoshaji wa wazi hata kidogo, wala siwezi kuwafurahisha wavivu na walalamikaji kwa uvivu wao :spandauB:
kama chama, lakini pia kama nchi, chini ya kiongozi madhubuti sana comrade Dr.Samia Suluhu Hassan,
tumepitia changamoto mbalimbali ngumu na nyepesi, mathalani uviko19, kuondokewa na mkuu wa nchi kipenzi cha waTanzania hayati comrade J.P.Magufuli, R.I.P mkuu, tumepitia pia changamoto ya athari...
kupitia CCM imara,
waTanzania kwa mamilioni yao, watazishinda kwa kishindo hila, mipango na njama za vibaraka wa mabwenyenye kwenye sanduku la kura mchana kweupe :BASED:
yaliyopita sio ndwele tugange yasasa na yajayo kwa amani....
uelekeo wa ccm, matarajio, matumaini na matamanio ya wana ccm na waTanzania kwa ujumla ni ya kipekee sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote. Uhakika wa uhalali wa viongozi watakaoteuliwa na ccm, kupeperusha bendera ya ccm...
sina shaka yoyote na sekritarieti madhubuti ya ccm iliyopo, ati kuzima sauti za wana ccm kwa kuwakata majina viongozi walio wachagua ktk kura za maoni licha ya kwamba walipata kura nyingi zaid ya wengine, na ambao ndio wanao pendwa na kukubalika zaid na wana ccm wengi, lakin pia na nje ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.