Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,517
- 3,630
Mil 19 tu jamaniii...halafu utakuta ni tuhuma tuMkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewaagiza Takukuru kumkamata DED wa Arusha na Watendaji wake wanaotuhumiwa kufisadi tsh 19 million za mwekezaji wa sekta ya Utalij Chamburo
Aidha RC Makonda amepiga Marufuku tabia ya maafisa wa TRA kupeleka Demand Notice za madai ya Kodi wakiwa wameambatana na Vikosi vya polisi
Arusha kumeshakucha
Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app