Recent content by the power

  1. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Kweli kabisa, Kuna watu hawapendi kuwambiwa ukweli. Na hili ndilo tatizo la watanzania.Kumbuka huwezi kubadilika kama husipokubali mapungufu yako.
  2. T

    Kama uzuri wa sura, umbo, ngozi na mguu ndiyo vigezo vyako muhimu kwa kuoa basi umepotea sana

    Mkuu ni sawa ndio maana hujalazimishwa. Ila mtoa mada amesema utamkumbuka baadae baada ya kufanya makosa. Kinga ni muhimu kuliko tiba
  3. T

    Kama uzuri wa sura, umbo, ngozi na mguu ndiyo vigezo vyako muhimu kwa kuoa basi umepotea sana

    Ok mkuu nakubaliana na wewe asilimia 100%. Naomba nitangulize hofu ya Mungu kama kigezo cha kwanza , then IQ na vingine. Ila kuhusu uchawi ukichunguza zaidi kwa majirani na ndugu wa karibu wa binti wanaweza kukupa hint.
  4. T

    Kama uzuri wa sura, umbo, ngozi na mguu ndiyo vigezo vyako muhimu kwa kuoa basi umepotea sana

    I know you got me, you heard me correctly! Ndio ukweli hata kama utakataa, chunguza magonjwa ya kurithisha kama kifafa, ukichaa katika familia ya mrembo, chunguza uwepo wa historia ya uchawi na ulonzi ndani ya familia ya mrembo, Angalia kwa makini vitu vibaya vingine vya kurithisha. Kibaya...
  5. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Hivi humu ndani kuna wengine tuna matatizo ya akili. Huyu jamaa mbona ananiandama with personal attack wakati mimi naongelea maisha ya ujumla ya watu na ishu zetu. Moderators please mnilinde. Hili JUKWAA LIKO WAZI SIO LAZIMA UKUBALIANE NA MTOA HOJA. Weka hoja yako pinzani mezani then wasomaji...
  6. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Yaani umetoa mfano mzuri kabisa, hapo ferry nilikuwa naenda Zanzibar , mpaka nikwa napigana na abilia. Wako very very slow, nilipofika ZANZIBAR mpaka nawapiga vikombe ili nipite. Hili ni janga la kitaifa ingawa wengi tutapinga
  7. T

    Ni mimi pekee ndiyo nina maamuzi ya kijinga?

    Wengi hawatatoa shuhuda zao ila wanachosema kinatokea sana kwa wanaume kamili. reglet inakuja baadae, sasa wengine wanmewekeza majumba na magari, tena wanapigwa chini
  8. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Wewe si ni Mhandisi, ebu wapatie mafundi kazi ndogo tu ya ujenzi au uhashi, halafu uone wanavyofanya kazi kwa muda muhafa, halafu uone quality ya kazi zao. Yaani kwa ujumla tubadilike, ingawa si wote ila asilimia kubwa tuko slow
  9. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Sawa sawa niko slow ndio maana nikasema watanzania tuko slow, including wewe ambaye hujui busara ya uhandishi, kwani kusema mtanisamehe ina huhusani upi na kuwa slow. Hiyo ni art ya uhandishi ambayo kila mtu anayakwake. Wewe soma hoja ya msingi
  10. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Umeambiwa mlikuwa mnasubir taa ziwake na zimewaka, trafiki yuko pembeni karuhusu na yeye kwa mkono, wewe umezubaa na wewe pia ndio haohao, kwa hiyo mpaka trafiki kumkemea jamaa unafikiri alikuwa mjinga. Yes defensive driving sio kuendesha taratibu tu kama hujui, unaweza kuendesha taratibu na pia...
  11. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Yaani ni balaa kubwa kila sehemu uvivu, uvivu ila huku tunapenda bata na kuspend
  12. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Yaani umetoa mifano mizuri sana tuko very slow kwenye kila kitu,nina ndugu zangu fulani ni jobless, ok ila mmoja ni fundi na mwingine ni mtaalamu wa computer, huyu mtaalamu wa computer ndugu mmejichanga na mumfungulia duka la vifaa na kutengeneza computer ili achichange na kuyamudu maisha na...
  13. T

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Ahhaaaa kwa kweli wavivu wengi, mbumbumbu wengi, masikini wengi wanapoenda vitu vyashortcut, halafu ni qapenzi wa starehe sana, hasa hasa starehe ya tunda na ndio maana tunazaliana kama nguruwe na kutengeneza viscous cycle ya poverty
Back
Top Bottom