Mkuu huenda kwenye kikao cha wazazi ndivyo walivyokubaliana.
Hii elimu bure imefanya baadhi ya wazazi walio wengi kijisahau na kutofuatilia mahudhurio ya watoto wao shuleni.
Sasa kama mtoto kaanza utoro mzazi akianza kudaiwa hizo bukubuku na yeye atakaza huko nyumbani.
Walimu kweli wana njaa...
Naelewa mkuu, Dube yupo vizuri na tunazikubali kazi zake.
Ila sasa linapokuja suala na kumuweka mizani moja na Bob, hapo ndo raia tunashindwa kujicotrol.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.