Marcus marcus
Member
- Dec 9, 2023
- 24
- 33
Hapo kikwazo kikubwa ni utumishiKwa mazingira hayo kutakuwa na uzembe wa kibinadamu tu
Hapo kikwazo kikubwa ni utumishiKwa mazingira hayo kutakuwa na uzembe wa kibinadamu tu
Kibongobongo ndo Iko hivoMatatizo kwa kweli..!!! Au wanataka wafuatwe..!
KabsaaHapo kikwazo kikubwa ni utumishi
Binafsi Huwa sishupalii Sana mambo yakiwa mapya mapya!
Ess nimeingia nikasoma hizo documents zao,nikajaza hizo task na sub task!baada ya hapo nikaona Ess ni ujinga usiokuwa na tija kama mifumo mingi ya serikali ya huko nyuma iliyofeli!!
Ess no upuuzi fulani hivi SEMA unaonekana was maana kwakua upon kwenye soft copy lakini no ujinga TU hauna maana!!
Hapo wasiliana na IT wanaifutaMimi nilifanya Transfer Vacancy Request kwenda taasisi nyingine wakaiReject, na wakatoa sababu ya kureject.
Sasa kila nikijaribu kuomba sehemu nyingine wananiandikia "YOU HAVE OTHER PENDING REQUEST" ambayo tayari walishaiReject.
Nashindwa kwenda mbele, nashindwa kurudi nyuma. Na option ya kuiDelete ile request iliyokataliwa hamna.
Msaada wanakwetu wenye kujua jinsi ya kichomoka hapo.
Shukran sana mkuu.Hapo wasiliana na IT wanaifuta
Walioreject ni taasis unayoenda au unayotokaShukran sana mkuu.
Kuna option ya ww kufuta ukaanza upyaMimi nilifanya Transfer Vacancy Request kwenda taasisi nyingine wakaiReject, na wakatoa sababu ya kureject.
Sasa kila nikijaribu kuomba sehemu nyingine wananiandikia "YOU HAVE OTHER PENDING REQUEST" ambayo tayari walishaiReject.
Nashindwa kwenda mbele, nashindwa kurudi nyuma. Na option ya kuiDelete ile request iliyokataliwa hamna.
Msaada wanakwetu wenye kujua jinsi ya kichomoka hapo.
Walioreject ni taasis unayoenda au unayo
Mfumo ndo unareject,kwa maana kama hakikuwa budgeted na ikama hairuhusu,automatically inagoma make mfumo umeunganishwa na mfumo wa kiutumishi na mishahara
Hiyo option siioni mkuu, ipo kwa wapi? Nimeitafuta sana.Kuna option ya ww kufuta ukaanza upya
Taasisi ninayoenda ndo walireject.Walioreject ni taasis unayoenda au unayotoka
Mfumo una changamoto gani mkuu?Habari,
Kuna yeyote aliefanikiwa kuhama kwa kutumia huu mfumo? Aje atupe ushuhuda kidogo. Huu mfumo bado ni changamoto.
jaribu tena kuombaTaasisi ninayoenda ndo walireject.
Nadhani wakati naapply kuna vipengele vilikuwa havijawekwa, ila kwa sasa vipo.
Maombi msimamiz hayaoniMfumo una changamoto gani mkuu?
Ukijaribu kuomba tena inagoma, wataalamu wamenishauri niwasiliane na IT ili ahafute hayo maombi.Ume
jaribu tena kuomba