Search results

  1. SUKAH

    Watanzania tunaomba mjifunze tofauti ya ‘Meter’ na ‘Square meter’, mnatutesa sana wafanyabiashara kufundishana mambo ya darasa la pili

    Jamaa bado unashupaza shingo. Ukispecialize kwenye mapishi ndo usijue metre na square metre. Sio! Kitu ambacho kinasomwa tokea elimu ya msingi. Kuspecialize haimaanishi ku-unlearn vitu basic ulivyofundishwa hadi ikakupeleka huko kwenye specialization.
  2. SUKAH

    Kuna tatizo gani Nigeria ? Kutoka Naira 1 = Shilingi 5 za kitanzania mpaka shilingi 1.8 na bado inazidi kuporomoka.

    Hii historia ya soga za vijana wenye njaa zinazoendelea chini ya mshelisheli.
  3. SUKAH

    Miongoni mwa waigizaji wachache waliofanya nipende Isidingo the need.

    Daaah kwa hiyo tushakuwa wazee, maisha yanaenda kasi sana.
  4. SUKAH

    Kundi la Big Dog Pose linajumuisha watu gani?

    Kuna mnyakyusa mmoja anaitwa Drezy Chief ni mkali sana huyu jamaa, anachana ile kinomanoma. Kuna mrangi mmoja hapo wa kuitwa Issa, anachana ile laana Kuna msandawe mmoja wa kuitwa Computer, ana goma lake linaitwa mwezi wa misukosuko. "... mpenzi nakuita, uje tuishi tena..." rudi mpenzi hiyo...
  5. SUKAH

    Nani Producer Mkali, S2Kizzy Vs Mika Mwamba?

    Ongeza na Tamala ya Hardmad slimdady
  6. SUKAH

    Diddy atuhumiwa na Mwanamke mwingine kwa udhalilishaji wa Kingono

    Msomali kwenye moja na mbili tena
  7. SUKAH

    Nafikiri Hawa Rappers 20 wa Bongo ndio bora kwa muda wote

    GK unamsingizia tu, hakuna analoweza hapo.
  8. SUKAH

    Wanyaturu ni kabila pekee lisilo na athari ya lugha kimatamshi; Wanawake wapo pia ni wakali sana

    Kuna warangi na wasandawe pia, sema warangi R yao inakazwa mara dufu.
  9. SUKAH

    Msisubiri mpaka huyu kijana afe ndio mumpe maua yake

    Aaah umenikumbusha na Samir wa kinyulinyuli, Mahewa Recs.
  10. SUKAH

    Taaluma muhimu za kujifunza katika mwaka huu wa 2024

    Nimekulewa mkuu, shukran sana, angalau nimepata picha.
  11. SUKAH

    Taja jina la nchi isiyokuwa na Herufi "A"

    Kuna mtangazaji mmoja kwenye tv akatamka zech. Nkazima tv kabisa.
  12. SUKAH

    Zifahamu wilaya 5 za kanda ya kaskazini zinazokua kibiashara

    Yupo yule anayesema Tanga ipo Kaskazini kwa maana ya muingiliano na mafungamano ya masuala ya kijamii. Na yupo yule anayesema Tanga ipo Pwani kwa kuzingatia mipaka ya kiutawala.
  13. SUKAH

    Weka Picha kali toka kwa simu yako

    Mtaani kwetu.
  14. SUKAH

    Je kibali cha takiwa ukitaka kufuga samaki kibiashara ?

    Haya mambo ya Yericko Nyerere enzi zile. Sijui siku hizi kaacha kujichatisha?
  15. SUKAH

    Je kibali cha takiwa ukitaka kufuga samaki kibiashara ?

    Vichaa mmekuwa wengi sana bongo hii. Au ndo unataka uipeleke thread mbiombio...
  16. SUKAH

    Je kibali cha takiwa ukitaka kufuga samaki kibiashara ?

    Unauliza then unajijibu mwenyewe. Nyie ndo huwa mnatembea mkiongea wenyewe.
  17. SUKAH

    Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

    Yaani ukisema gari ni chesis sawa! gari ni injini sawa! gari ni bodi sawa!
Back
Top Bottom