Recent content by SOVIET UNION

  1. SOVIET UNION

    Godbless Lema ni mzushi

    Taifa limejaa mazezeta
  2. SOVIET UNION

    Mchanga unaotumika wakati wa mwenge

    Mnafuataga nini kwenye huo Mwenge? Taifa limehaa wajinga sana, mimi kwa mara ya mwisho kuona mwente live kabisa ni miaka ya 90 baada ya hapo labda nione kwenye TV,
  3. SOVIET UNION

    SoC04 Tujandae na kuisha matumizi kwa baadhi maliasili tulizo nazo

    TUJIANDAE NA KUISHA MATUMIZI KWA BAADHI YA MALI ASILI Mwisho wa matumizi ya baadhi ya Mali asili uko karibu sana, kama nchi tujiandae na tuchukue hatua sasa. Mali asili ni moja ya utajiri wa asili kutoka kwa Mungu, ni utajiri ambao upo tangia kuumbwa kwa Dunia hii.Ukisoma historia biashara...
  4. SOVIET UNION

    Kuna ya Adidas, Nike na Puma kwenye timu ya Taifa ya Brazil

    Haya mambo ya jezi kumbe ni biashara kubwa sana? Brazili inapiga kama Bilion 80 kwa mwaka kutoka Nike.
  5. SOVIET UNION

    Kamwe miti ya matunda ya kisasa haiwezi lingana na ya asili iwe utamu au kuzaliana

    Umeenda shule?:Ngano ipi ya asili? Karoti za silini zipi hizo? Utasikia mtu anakuambia mahindi ya asili, asili ipi? mahindi yaliletwa kutoka Mexco ba Wamisionaries na wakoloni,hakuna mahindi ya asiliAfrica. Matunda ya asili ni ya mwituni ambayo oia ni mazuri sana tofauti na matunda ya mwituni...
  6. SOVIET UNION

    Kamwe miti ya matunda ya kisasa haiwezi lingana na ya asili iwe utamu au kuzaliana

    Matunda ya asili ni ya polini,haya mengine yote yameletwa,
  7. SOVIET UNION

    Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

    Magonjwa ya Tabia ndio magonjwa yanayo tusumbua sana,na Makampuni yacmadawa na hizo Bima ndio sehemu wanatajirikia.Bima sio suluhisho,Bima haiwezi fanya usipate kisukari,Kansa,Presure na kadhalika. Ila kubadilia mifumo ya maisha kutatufanya tusipate hayo magonjwa. Sasa kimjini mjini watu wengi...
  8. SOVIET UNION

    Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

    Bima nzuri ya afya ni wewe kuishi kiafya mkuu,Magonjwa mengi ni magonjwa ya Tabia, hizo Bima sana sana zitatusaidia kwenda kupewa madawa na sio suluhisho.
  9. SOVIET UNION

    Serikali ya CCM Mei Mosi mmejifanya wajanja, tutawanyoosha Uchaguzi Mwakani

    Wafanyakazi wa Kenya wanapambana na Serikali yao live,nyie mmekuwa wajinga sana. Nchi imejaaa wajinga
  10. SOVIET UNION

    Kamati ya kuombea msamaha watuhumiwa wa report ya CAG wamemaliza kazi

    Ukiwaona wanasikitika majukwaani unaweza dhania wako serious,
  11. SOVIET UNION

    Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

    Serikali zote hata ukienda Burundi wana Descourage Uchuuzi, Uchuuzi ni ujinga na full umasikini
Back
Top Bottom