Kwa wasioelewa niwafungue ufahamu. Majini Ni malaika walioasi Wakatupwa Duniani pamoja na Bosi wao Lucifer . Hiyo Ndio maana ya Majini.
Soma ufunuo wa Yohana 12 yote utanielewa
Sasa NI dhahiri kuwa Huwezi tenganisha Ile Dini na Majini Hilo liko dhahiri. Sasa unaweza elewa wanamuabudu Nani...
Si dalili nzuri ila pia usimrahisishie shetani kazi. Weka bando Leo jioni
Kuna Semina ya Mtumishi wa Mungu Elibariki Sumbe Ingia You tube Andika Elibariki Sumbe au Vuka Yordan
4:00pm Wewe mfuatilie. Utatuletea ushuhuda hapa. Sina mashaka na hilo kabisa. Asante
Tatizo hamboreshi Sera za Kodi Kwa sababu Ni fursa Kwenu. Watanzania wako tayari kushiriki katika ulipaji wa Kodi ikiendana kwa mtu kulipa Kwa anachongiza.
Nilikuwa constance belle Mare plage Hotel last year
Asikudanganye mtu Mauritius Ni nzuri Kwa mapumziko. Hakujaendelea kama hapa ila beaches are very beautiful and organised
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.