Search results

  1. S

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Shetani amemwekea bidhaa ya kumfanya asiwe muaminifu.
  2. S

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Acha na hiyo story. Kama Unataka ule mchicha na dagaa kila siku endelea Wewe Ni masikini bado. Hudumia familia kwanza
  3. S

    LATRA Arusha yaahidi kupambana na taxi itakayobeba mzungu kama haijajiunga kwenye Saccos yao

    Assalamu alleikum, Kuna habari zimesambaa hapa Mjini Arusha kuwa LATRA wameunda SACCO'S yao ya taxi wakishirikiana na Baadhi ya matajiri wenye magari lengo likiwa Ni kuhakikisha Hakuna mtu mwingine anapewa leseni ya Minvan taxi asipojiunga na hiyo Sacco's Sasa kuna maswali mengi yanaibuka...
  4. S

    Natafuta Sehemu nzuri za kwenda kurelax Na Ku experience nature

    Ngorongoro Crater. Overnight Ngorongoro wildlife lodge Member of Melia
  5. S

    Nina gari aina ya Noah nataka kuanza biashara ya kubeba abiria, naomba kujua njia gani ina wateja wengi

    Siku nyingine taja location unayopatikana wewe Ili iwe rahisi kusaidika
  6. S

    Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

    Na hili Ndio Tatizo Unakuja Waziri amekuja na bidii ya kutumikia Taifa Mwisho anakutana na Manguli Serikalini na Mahakamani au chamani Chamani Wanawakingia kifua Mabedui
  7. S

    Tetesi: Serikali yashindwa kulipa wakandarasi, mradi wa SGR Mwanza wasimama

    Alafu wakute majukwaani huku Ndio utajua CCM ni watoto wa Mjini
  8. S

    Twende mbele turudi nyuma, raia wa Tanzania ni tatizo pia

    Nani kakuambia Wabunge wanachaguliwa na wananchi? Kura ni Ili Dunia Ione Tanzania tunapiga Kura Asikudanganye mtu
  9. S

    Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

    Jua kuna uharibifu amefanya mahali..anatafuta huruma
  10. S

    Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

    Ukirusha jiwe gizani kelele Ndio zinakujulisha kuwa kulikuwa na watu huko
  11. S

    DOKEZO Kuna utoroshaji Madini huko Lemshuku, Manyara

    Hili ni Tatizo la watumishi wa umma wengi Nchi hii wakipata fursa hawataki mchezo kabisa. Ni wezi Kuliko wezi wa huku Mtaani
  12. S

    Kwanini Yesu Kristo hakuoa, hakuwa na mwanafunzi wa kike, pia Yesu hakuwa na ukaribu wala urafiki na wanawake? Kuna nini nyuma ya pazia ?

    Ni Mungu aliyevaa Mwili wa Damu na nyama Ili afe msalabani Auokoe Ulimwengu Mission yake ilikuwa hiyo tu.
  13. S

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Subiria LHRC. Ila huko hawafiki mwisho Kwa Makonda
  14. S

    MUFTI MKUU WA OMAN: Tunaipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua nzuri iliyochukua ya kupiga marufuku USHOGA

    Hizi ni siasa. Hakuna siku Mkuu wa nchi ametoa kauli kupinga vikali mambo haya Kuwa haungi mkono
  15. S

    Mabinti Ogopeni sana Ndoa na Wanaume ambao tayari wana watoto

    Uzinzi Ni suala la mtu binafsi msichanganye mambo. Kuna Single Mother wameamua kujiheshimu Si kuchezewa kisa ulimzalisha As well as Single Father's
  16. S

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    Du! Hii inaumiza mbona. Huenda bado kuna wanawake Ni bado tu hatujawahi kukutana nao
Back
Top Bottom