Muache upuuzi wa ubaguzi na kyjifanya waarabu
Kujifanya waarabu wewe unaumia nani? mbona unateseka na watu wasiokuhusu?
Muache upuuzi wa ubaguzi na kyjifanya waarabu
Kujifanya mnaijua dini kuliko saudia stupid nyieKujifanya waarabu wewe unaumia nani? mbona unateseka na watu wasiokuhusu?
Kujifanya mnaijua dini kuliko saudia stupid nyie
Naomba namba ya huyo dadaHalafu G thongs Rukhsa kama Vazi la kuogelea tena Serikali inawahimiza Raia wake wavae zenye Bendera ya Mauritius
View attachment 2989942
Hadi Bendera ya Taifa 😁
Sio kwamba Zanzibar ndio inaikalia Magogoni kimabavu?!Mchawi wa Zanzibar ni Tanganyika. Tanganyika waache kuikalia Zanzibar kimabavu
Nilikuwa constance belle Mare plage Hotel last yearNawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Watanzania (Zanzibaris) tunahitaji viza huko?Nilikuwa constance belle Mare plage Hotel last year
Asikudanganye mtu Mauritius Ni nzuri Kwa mapumziko. Hakujaendelea kama hapa ila beaches are very beautiful and organised
Balozi wa Mauritius aitwe kamati Kuu ajielezeYani huu muungano tunalazimishwa na wanasiasa tu lakn sisi wenyewe wananchi hapana hatuiitaji ningumu sana kuishi pamoja waznzibar na tanganyika pamoja kwa siku zijazo
Hawa wa Visiwani Uisilamu wao ni ule wa Mkwamo wakati wenzao wa Dubai wana Progressive Islam.
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pwmojanna mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Hatua ya kwanza ya kutatua tatizo ni kulitambua kikamilifu. Kama mnafikiri Tanganyika ndiyo tatizo badala ya ccm mtasubiri sanaMchawi wa Zanzibar ni Tanganyika. Tanganyika waache kuikalia Zanzibar kimabavu
Sio kweli, lakini kila penye mjadala motomoto nipo.Kila penye Zanzibar upo
Hiyo nchi yako Tanganyika umeisahau ??? Mnavyoiona Zanzibar sijui kama nchi gani na ni kakisiwa tu kinawatoa roho na kuwakosesha usingizi