Binafsi nafuatilia sana siasi Kwani naelewa mustakabali wa maendeleo yetu kama binadamu unaletwa na siasa safi.
Kwa upande wa Afrika Mashariki na kati na kwa kipindi hiki ambacho naelewa kinachoendelea duniani (2005 - 2024).
Hii hapa ni list ya wanasiasa ambao kwao nimejifunza mengi.
1...
Huu ndiyo uzwazwa wenu watu weusi. Huku akiwapandishia wananchi kodi, yeye anapanga ziara ya anasa na kudanganya kuwa Marekani imegharamikia ziara hiyo.
Unatumiaje zaidi ya dollar 1,500,000 kukodi private jet kwenda tu Marekani? Bado hoteli na chakula, gharama za Ulinzi, per diem, nk.
Hadi...
Unajua historia ya ukoloni wewe? Au historia ya uzwazwa wa mwafrika umeanza kipindi cha ukoloni? Si mlibadilisha watumwa kwa nguo? Chumvi? Kioo? nk.
Punguzeni makando-kando
Mnaumiza watu wengi.
Itoshe tu kusema kuwa kama pascal alikuja kupima upepo, basi amekutana na kimbunga.
Itoshe tu kusema kuwa ikiwa ndugu Pascal alikuja kupima upepo wa suala la muungano, basi amekutana na kimbunga.
Ujinga ni kuhisi kuwa wewe unajua sana kuliko wengine.
Kwa makala yako hii umejua wajinga ni kina...
Uongozi wa Mbowe ni aibu kwa democrasia. Kiongozi unaposhindwa kuandaa wengine kuchukua nafasi yako na kuona kama wewe pekee ndiye anayefaa, hapo umefeli kama kiongozi.
Wajinga wengine watakuja na hoja “kwani katiba yao inasema je? Alafu wanakuja kuomba mabadiriko katiba ya nchi. Aibu!
Kumbe mnamjua? Mimi ndiyo namfahamu kwa hizi makala za sasa. Huyu jamaa anapotosha kwa maandishi yanayoelekea kuwa kweli kwa kujisahaulisha kuwa muungano una kero zake ambazo lazima zitatuliwe ili wananchi waufurahie
Ndugu Pascal kuna kitu hujaelewa kuhusu malalamiko ya wananchi wa pande zote mbili. Kero za muungano ndiyo shida hivyo kuwafanya wahoji muungano wenyewe.
Zanzibar inaonekana ilihali Tanganyika imepotea.
Zanzibar wana serikali yao na mambo mengine yote wanayo. Hata ikitokea leo Muungano...
Nakuelewa ndugu Paschal Ila huu Muungano ni kana kwamba Tanganyika wanaulazimisha. Wazanzibari wako proud kujitambulisha kama wazanzibari. Watanganyika mna lenu jambo kwenye huu Muungano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.