Recent content by ndege JOHN

  1. ndege JOHN

    Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

    Naomba ufafanuz hapo kwenye heroine
  2. ndege JOHN

    Maigizo ya Balozi Dkt. Nchimbi kwenye mikutano yake yanakidhalilisha chama, abadilishe mapigo kidogo

    Utawaona wanajifanya wako serious kusikiliza na vinote book
  3. ndege JOHN

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Endelea mkuu
  4. ndege JOHN

    Pombe gani hazikupi hangover at the same time zinakupa appetite ya kula?

    Uhakika ndo maana nimeitaja
  5. ndege JOHN

    Naomba kueleweshwa kuhusu Foundation Course

    Jibu hilo hapo Mtoa mada
  6. ndege JOHN

    Wanaume: Ebu jaribu "simple dress code" hizi siku, Ujione utatokaje!

    Ngoja nipate hela ninunue upya code Hizo.. Halafu hujaielezea form six hapo ebu tupe dress code yake tunatokaje
  7. ndege JOHN

    Watanzania tunaomba mjifunze tofauti ya ‘Meter’ na ‘Square meter’, mnatutesa sana wafanyabiashara kufundishana mambo ya darasa la pili

    Kwamba asilimia 95% ya wenye degree hawajui tofaut ya meter square na meter duh anyway me kitu ambacho huwa kinanitatiza ni inch, futi na maili huwa nasahau kuzicompare na cm na meter
  8. ndege JOHN

    Mpaka 2022, kulikuwa na aina 3,971 za nyoka zinazojulikana na karibu spishi 600 zenye sumu ulimwenguni

    Mpaka kufikia 2022, kuna aina 3,971 za nyoka zinazojulikana na karibu spishi 600 zenye sumu ulimwenguni, na karibu 200 wanaweza kuua mwanadamu. Huu ni muhtasari wa nyoka ambao huhatarisha sana afya ya binadamu, kwa kuumwa na nyoka au majeraha mengine ya kimwili. Kesi muhimu za kiafya za...
  9. ndege JOHN

    Kwangu mimi naona mbona maisha mazuri tu

    Mimi bwana sometimes naona kama mfumo tuliopo mzuri kiasi fulani kwani mbona watu wanafanya wanakula, na bado wanacheka na bado wanashabikia mpira na bado wanaenda kule Dubai. Mbona kama mambo yamekuwa mazuri jamani si tukubali tu au unaweza kuhisi labda nina tatizo la stress.. Hapana...
Back
Top Bottom