Siku hizi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii utakutana na manung'uniko mengi kutoka kwa watu hususan sisi wazawa wenye rangi nyeusi yakituhumu ubaguzi katika kutoa huduma kwa wateja wenye ngozi nyeusi kwenye hii mighahawa ya kitalii.
Ukisoma maoni kutoka kwenye malalamiko ya mtoa hoja unakuja...
Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana?
Kwa watu wenye mahusiano au wanandoa kuachana ni jambo gumu sana katika Maisha hususan kwa wanawake hasa ikiwa katika mahusiano hayo au ndoa hiyo kuna mtoto. Ni jambo gumu kwa sababu kwa mwanamke atalazimika kuwa na...
Unatakiwa kutuma TZS 22,000/= kwa Tigo Pesa 0715729292
Kitabu TZS 10,000/=
Kutuma Mwanza kwa Basi TZS 10,000/=
Ya kutolea Tigo Pesa TZS 2,000/=
Jumla itakuwa TZS 22,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.