Recent content by Mtambuzi

  1. Mtambuzi

    Hivi Tanzania hatuna taasisi inayochunguza ubora wa huduma zinazotolewa kwenye hii mighahawa hapa nchini?

    Siku hizi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii utakutana na manung'uniko mengi kutoka kwa watu hususan sisi wazawa wenye rangi nyeusi yakituhumu ubaguzi katika kutoa huduma kwa wateja wenye ngozi nyeusi kwenye hii mighahawa ya kitalii. Ukisoma maoni kutoka kwenye malalamiko ya mtoa hoja unakuja...
  2. Mtambuzi

    KUMBUKIZI: Mada maalum ya kumuenzi Munga Tehnan na kazi zake

    Duh, Mshana Jr umeniamsha aisee... Kesho nitaandika kitu kuhusu Hayati Munga Tehenan....
  3. Mtambuzi

    Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana?

    Mzee mwenzangu bado tunahitajika kuwapa vijana elimu ya mapenzi na mahusiano...
  4. Mtambuzi

    Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana?

    Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana? Kwa watu wenye mahusiano au wanandoa kuachana ni jambo gumu sana katika Maisha hususan kwa wanawake hasa ikiwa katika mahusiano hayo au ndoa hiyo kuna mtoto. Ni jambo gumu kwa sababu kwa mwanamke atalazimika kuwa na...
  5. Mtambuzi

    Madame B, mbona husomeki...?

    Missing you my Baby
  6. Mtambuzi

    Kitabu cha visa na mikasa ya kesi maarufu duniani sasa kiko sokoni

    Kitabu cha Toleo la Pili kitatoka mwakani 2019. Kiko kwenye hatua ya uhariri kwa sasa ili kiwe na ubora maridhawa.
  7. Mtambuzi

    Winnie Madikizela-Mandela na tuhuma za mauaji ya kutisha...!

    Kwa heri Madam Winnie Madikizela Mandela. Tutakukumbuka kwa mengi na ninaamini yote yaliyotokea na kuhusishwa nayo ulishayaombea Toba kwa Mungu.
  8. Mtambuzi

    Wanaume kwanini mnapokamatwa kwa kosa la kutembea na msaidizi wa ndani hamuombi msamaha ili yaishe?

    Acha uongo wewe Mzee. Tabia zako mbaya usinihusishe nazo Bazazi
  9. Mtambuzi

    Kitabu cha visa na mikasa ya kesi maarufu duniani sasa kiko sokoni

    Unatakiwa kutuma TZS 22,000/= kwa Tigo Pesa 0715729292 Kitabu TZS 10,000/= Kutuma Mwanza kwa Basi TZS 10,000/= Ya kutolea Tigo Pesa TZS 2,000/= Jumla itakuwa TZS 22,000/=
Back
Top Bottom