Wanaume kwanini mnapokamatwa kwa kosa la kutembea na msaidizi wa ndani hamuombi msamaha ili yaishe?

Tukubali kwamba wanaume tunaongozwa na tamaa halafu ndo tunapenda, zaidi ya hapo, kuna mambo mengi yanachngia hili; yawezekana ni tabia ya mtu mwenyewe anapenda kuonja onja, au wanawake na nyinyi ubunifu umepungua mpaka hamvutii tena, wanawake wengine jeuri mpaka wanapoteza mvuto (mwanamke hata kama anaumbo zuri kiasi gani kama ni mjeuri mvuto wake kwa mwanaume hupungua sana), wanaume na sisi wakati mwingine tusijidanganye kuoa wanawake wenye tabia njema tu ndo maisha yatakuwa mazuri, tuchanganye kidogo, mke wako lazima akuvutie na machoni pia, unapomtizama unakubali uchaguzi wako (ndivyo nilivyofundishwa na nimeanmini ni kweli kwa asilimia zaidi ya 90%), hisia za mapenzi huanza kwa kutazama sio kusikiliza busara za kihenga.
Sasa kumpata mwanamke mwenye tabia nzuri halafu akakuvutia pia hapo ndipo pana patashika nguo kuchanika,wapo wachache sana wa style hiyo
 
Tambua kwamba mwanaume yeyote mzima, mwenye afya nzuri, anakula na analala vizuri, mara zote/siku zote ana hamu na ana nguvu ya ajabu ya kufanya tendo. Ni busara tu inayowazuia kutofanya hivyo. Lakini akizidiwa wengi hurukwa na akili na lazima apate ndipo akili yake itatulia.

Tofauti na mwanamke, mwili wa mwanaume umeumbwa kwa ajili ya kuzalisha mbegu ili zipandwe (kwa mwanamke) ziongeze watoto na idadi ya watu. Ndani ya mwili wa mwanaume kuna 'hormones' maalum zinazochochea uzalishaji wa manii, zinaitwa 'testosterone' hizi ndizo humpa hamu na nguvu ya muda wote anatamani kufanya tendo. Kinachosababisha awe hamu zaidi ni kwamba hizi 'hormone' zinazalisha manii ambayo LAZIMA YATOKE NDANI YA MWILI WA HUYU MWANAUME. Manii yanapojaa mwilini, mwanaume huyu huwa anachanganyikiwa, anakuwa kama amevurugwa fulani hivi, na wakati mwingine hata uwezo wake wa kufikiri hupungua, yaani mpaka afanye tendo (atoe manii). Haijalishi ni mwanaume wa ina gani, mzee, kijana, mheshimiwa, mhuni, mbabe, mnyonge, shehe, mchungaji ili mradi ni mwanaume. Wanaume wote wazima wanalitambua vema sana suala hili.

Hivyo kwa wale wanaume wenye wake au marafiki zao wa kike, hapa ndipo hujisitiri, na ndiomaa mwanaume yeyote ambaye ana mke au rafiki wa kike asipopata tendo la ndoa atasononeka mno! Ndiomaana mwanaume anapomaliza tendo akili yake inatulia, anakuwa na amani na furaha muda wote, hata kule kusononeka kunapungua.

Mara nyingi wanaume ambao hawana wake au marafiki wa kike au wana wake au rafiki wa kike lakini UPATIKANAJI WA TENDO NI SHIDA huishia kwa wadada wa kazi, changudoa, au wengine wakizidiwa huamua kujichua kama wafanyavyo vijana wengi.

Kibailojia sisi binadamu tunaangukia kundi la wanyama, na wanyama wote dume, wana sifa ya kutoa/kuzalisha mbegu ili wanyama majike wazae na vizazi viendelee. Mfano unapoamua kufuga mbuzi au kuku, kanuni ni kwamba Mbuzi/Beberu mmoja anawekwa na majike matatu au hadi matano, Jogoo mmoja anawekwa na mitetea wanne au watu, kwasbabu Jogoo na Beberu kazi yao kuzalisha mbegu na kupandikiza kwa majike aili wazae waendeleze kizazi.

Kinachotakiwa ni busara ya wanaume kuwa na kujifunza jinsi ya kudhibiti nguvu za miili yetu, maana hata kama sisi ni wanyama, ila ni aina wanyama ambao tumepewa upendeleo zaidi, tuna akili na busara ambazo tunaweza kuzitumia vizuri kuliko mbuzi na kuku.
Duuu!!!! Umetishaaa
 
wanawake wengi huwa mnajisahau sana,,, halafu tabia ya kila uchao unamgombeza beki tatu,,, ujue nae ni bin-Adamu!!! muwe mnawaruhusu hata wkend wakazurure,,, hata kwa lazima.....hebu chukulia beki 3 analea mwanao,,, anampikia chakula murua,,, kumbuka kikibaki anakula yeye....si hutaki mwanao ale kiporo!!! lazima awe soft balaa,,, lazima ngozi ianze kung'aaaaaa.....kudaadeeki.......halafu wewe mwenye nyumba hata habari huna,,,,,hupiki wala hupakui......we jipake wanja ufikirie wanaume twapenda wanja..........beki 3 hata mashine yake mororooooo......mwili mlaini....si anakula viporo na mapochopocho ya mwanao.....nae anahitaji la mwili.....ruhusa humpi.....baba ukigusa huyoooo chaliiii.........duh....ila hii ni mbaya wababa wenzangu.......si unajua utamu hauishi hamu....ikinasa utajua.....
Duh!!!!
 
Kama umedhamilia kwenda kuua nenda tu ukijua utaua kweli na kufa wewe

Ni vigumu sana mwanamme kuomba msamaha kama chanzo ni wewe mke kama chanzo ni yeye ataomba msamaha tu tena kilaini sana


Mnapokosea wanawake ni

1 kumpa ruhusa hg kufua nguo za mmeo na mashuka mnayolalia iko hivi kila mtu anapofua kunakuwa na mwingiliano na jasho LA mfuaji na nguo anazofua kwenye jasho lake kunachembechembe ya hormone ambavyo harufu yake akiipata Mume wako kichwa cha chini kinastuka na itashabiliana na anapomuona live kile kiharufu kinamjia sasa kukishinda ipo Kazi

2 usimwachie housegirl kupika chakula anachopenda sana Mme wako hii iko hivi
Mwanaume anapokula akishiba chakula kitamu husababisha ubongo kutoa hormone za kumfanya alilax inayosababisha mzee wa chini kutuna hivyo huanza kufikiria aliyepika chakula kitamu anachokipenda kama ni hg uwezekano wa kumbandua upo njiani harafu jifunze hg asikuzidi kupika chakula kitamu kabisa

Mengine nitaleta baadaye msijechoka kwa utefu wa maandishi


Teh
tuleteee mkuuu
 
Dada sababu kuwa ni nyinyi wenyewe.Wakati mkiwa wachumba ulikuwa hata bafuni,jikoni unapiga mechi,lakini ukishakuwa mama kwenye nyumba ukihitajika unasema ngoja usiku,ulikuwa unalamba koni sasa umeacha.Sasa beki tatu jikoni anatoa mechi ,sebuleni ndio kabisa,unategemea nini kama mumeo unamkosesha yale ya zamani uliyokuwa unamtendea.Atahamia kwa msaidizi wa nyumba.Msiache yale manjonjo yaliyomfanya akuoe hata ukishakuwa kwenye chengo chako
Duu!!!! Mimi mwanamke hawezi kunipangia muda wa kusex
 
Kwanini wanaume wengi wa leo mnawakosea heshima wake zenu kwa kutembea na msaidizi wa ndani kwanini mnapokamatwa hamuombi msamaha ili yaishe?

Mnajua samahani ina nguvu kubwa sana katoka mahusiano mpaka nafikia hatua ya kuondoka huku kuna jamaa amenikela kweli tena jirani yangu maana amefumwa mchana kweupe na mkewe akifanya nae mapenzi msaidizi wa ndani tena ametoka kazini mapema kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya wakati hata mkewe hajamjulisha kama anarudi home na anajisikia vibaya.

Wote mnaotembea na wasaidizi naomba mtujuze maana nisije nikaingia kwenye ndoa nikaua mtu.
Tafuta mwanamke wa kukusaidia kazi za ndani ambaye umri umeenda ma hana mvuto.
 
Mimi ni mwanaume, nakwambia hivyo. Siwezi lalana mwanamke asiye na mvuto.
Sawa.
Mvuto wa mkeo ndo mvuto wako?
Yani mvuto ni nini kwa tafsiri moja kiasi unachopendelea wewe kiwe kinachomvutia mwingine au kile MKE asichokiona mvuto wake kwako chaweza kuwa mvuto!!

SIJUI UNANIELEWA!!?
 
Sawa.
Mvuto wa mkeo ndo mvuto wako?
Yani mvuto ni nini kwa tafsiri moja kiasi kinachoendelea wewe kiwe kinachomvutia meingine au kile MKE asichokiona mvuto wake kwako chaweza kuwa mvuto!!

SIJUI UNANIELEWA!!?
Mke wangu awe mbunifu kudumisha mvuto wake kwangu. Na pia anaweza akawa na mvuto kwangu lakini uanaume ukanijia kutamani kingine kinachovutia pia. Kama ni nyumbani hapo hapo inaweza angukia kwa housegirl.
 
Back
Top Bottom