Recent content by mkushite

  1. M

    Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

    Acheni ujinga, hizo imani ni tamaduni za wazungu na waarabu. Na hivyo vitabu ni vya hadithi tuu kama za shigongo. Mwache binti aolewe apewe mshedede azae watoto.
  2. M

    Mwalimu wa Madrasa alawiti watoto 15 Mafia

    Huo ndio msingi wa hizo dini za kishenzi zilizoletwa na wakoloni. Ni mishenzi , wauwaji na mikatili, imetesa sana babu zetu utumwani. Kama waliweza kuwafanyia ushenzi babu zetu, ni lazima na wewe watakufanyia ushenzi.
  3. M

    Naombeni ushauri wa nini cha kufanya

    Acha ujinga, tumia ubabe ishi nao na wapangie zamu. Uzuri wote imezaa nao, hakikisha watoto wote ni damu yako pia. Tatizo dini zimewapotosha kuhusu mke mmoja. Wewe unataka watoto wako awalee nani? Kuwa responsible 100% kwa damu yako. Hao watoto wa mchepuo ndiyo watakufaa baadaye...
  4. M

    Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu

    Kwani kuwa mme au mke wa mtu inaondoa hisia za kumpenda mtu mwingine?
  5. M

    Mwijaku ni mpagani aliyekwenda Hijja!

    Tatizo utumwa unawasumbua. Hamna akili za kuchanganua mambo, mnaiga iga tuu tamaduni za kishenzi eti ni dini. Kwahiyo Mungu aliye umba mbwa alikosea?
  6. M

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Kigoma mnachokijua ni uchawi na uchawa.
  7. M

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Tatizo lenu chadema mnawaza madaraka na kuiba. Hata kama nyie ni Wachagga hamtapewa hii nchi maana wizi upo kwenye damu zenu.
  8. M

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Dictator anakuja 2025. Kaa kwa kutulia
  9. M

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Hii nchi inahitaji dictator. Si unaona viongozi wako wanaochekacheka wameifanya nchi imekuwa ya kisenge senge.
  10. M

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Alipaswa kupewa mtu yeyote aliyekuwa mtiifu kwa jiwe. angepewa kakulwa nchi ingeenda vizuri sana.
  11. M

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Hao jamaa ni manabii. Mabeyo atakuwa anasikitika sana.
  12. M

    Kiongozi wa Serikali ya Tanganyika Soma Hii; kwa Nini Viwanda Vidogo Nchini Pakistan ni Vingi?

    Jiwe alikuja na sera ya Tanzania ya viwanda mkamuita dictator na majina mabaya mabaya mengi mpaka mkamuua. Mwingine akasema hata cherehani nacho ni kiwanda, mkamzomea. Muda mwingine watanzania wanakuwaga kama madem, hawajui wanachokitaka.
  13. M

    Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

    Mjerumani, mjapani, mfaransa, mhindi, mreno wote hao hawajui kuongea vizuri kiingereza. Ukiona mtu anaongea vibaya lugha, ujue ana lugha yake mama. Sisi kiswahili chetu kinatosheleza kuwasiliana, kwanini tuangaike na lugha zingine?
  14. M

    Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

    Mwanamke yeyote asiye bikira, jua ni mke wa mtu.
  15. M

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Ndo maana wasukuma akili zao ni za kusuasua sababu ya kula ugali.
Back
Top Bottom