Habari wa jf
Kuna mtu yoyote mwenye idea au kufahamu kuhusu biashara ya mifupa ya samaki, ngozi na mabaki mengine, maana kuna mahali naweza kupata zaidi ya tani 5 kwa siku.
Naomba mwenye uzoefu au kujua soko au fursa na kitu cha kufanya kupitia mabaki ya samaki.
Nenda mkuki house kwa nyuma ulizia yadi ya Temesa, ukifika ulizia chama cha madereva IT utapewa form na lipid kiasi cha kujiunga na chama, baada ya hapo watakupa muongozo wa makampuni ya clearing na kazi inavyofanyika. Zaidi tafuta dereva mzoefu pale sheli ya changombe oilcom au water front hapa...
NIWASHUKURU WOTE MLIO LIKE NA KUCHANGIA CHOCHOTE, MWENZA AMEPATIKANA. MAISHA YANAENDELEA
FANYA UNACHOKIAMIN NA KINACHOKUPA FURAHA MAISHA NI MAFUPI HUJAJA KUTESEKA DUNIANI
Nahitaj mwanamke yeyote umri sichagui lakin usiwe mnene, kwa ajili ya kuridhishana kimapenz tuu, tutasaidiana panapowezekana.
Sihitaj mahusiano ni pale tunapohitajiana tuwasiliane tofaut na hapo tusiwasiliane.
Pm iko waz
Habari ya muda huu,
Nakodisha ambulance kwa miradi mbali mbali au hospital binafsi, pia nafanya usafirishaji wa miili ya marehemu toka sehem moja kwenda nyingine.
Napatikana Dar es Salaam
Kwa maelezo zaidi piga 0623900700
KWA MASIKITIKO MAKUBWA NA SIJUI NIITE USWAHILI AU UJINGA AU KUKOSA UKOMAVU WA AKILI.
HAWA JAMAA HAWAKO SERIOUS NA NI WASWAHILI KWA MAANA WABABAISHAJI HAWAJANYOOKA,
UNAPOFANYA MAKUBALIANO NA MTU MAKE SURE UNATIMIZA AU KUTOA POSITIVE FEEDBACK.
KIUFUPI HUWA NAFANYA KAZI KWA UMAKINI MKUBWA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.