Lazima kuwe na utaratibu fulani wa kuiongoza dunia, kila mtu awezi kuwa na taratibu zake. Lakini hujazuiwa kusherehekea mwaka wako uliozaliwa kama mwaka mpya wako.
Hacha mambo ya kipuuzi ya kumtetea papa, nini maana ya baraka? Inaanzaje kuwabariki mashoga?
Dhambi inabarkiwa au inakemewa?
Kubariki ni kukubaliana, au kuharalisha kitendo hisika.
Biblia imekemea kwa sana mambo ya ushoga.
1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa...
Naona mnaanza kucheza Kibinda Nkoi, mnabinua kakalio kama manyigu pori.
Hawa mashujaa wenu wakianza kuchapwa msije mkaenda kulalama, ooh.. Umoja wa mataifa, ooh.. haki za binadamu, mara ooh.. Hamas ni tawi la IDF.
Punguani waheed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.