ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,238
- 9,883
wafia dini mmekutana mnadanganyana weee allah akbar ..allah akbar
John! John!!Allahul akbar, allahul akubar, allaha akbar.
lllah illah illa llah, ashaadul anna muhamad rasul llah
mashoga yatampiga nani...waache wafeShirika la habari la Reuters limegundua kuwa wanamgambo wa Hamas wameweza kuigeuza mitaa ya Gaza iliyobomolewa kuwa ni mtego na tando la kuwaua askari wa Israel.
Idadi ya askari wa IDF waliothibitishwa na Israel yenyewe kufa katika vita hivi tayari imeshakuwa ni mara mbili zaidi ya vile ilivyotokea katika vita vya mwaka 2014.
View attachment 2845229
Hamas turns Gaza streets into deadly maze for Israeli troops
Naona mnaanza kucheza Kibinda Nkoi, mnabinua kakalio kama manyigu pori.Tazama vizuri uone alivyorushwa, hao wengine kabisa wamekuja kushangaa kamanda wao yuko wapi, na wao wakachezea kichapo.
Ipo version ndefu ya hicho kichapo. Tukuwekee?
Hawa ndiyo vijana wa Kitanzania wanaojifunza kilimo israel?👇🏾Naona mnaanza kucheza Kibinda Nkoi, mnabinua kakalio kama manyigu pori.
Hawa mashujaa wenu wakianza kuchapwa msije mkaenda kulalama, ooh.. Umoja wa mataifa, ooh.. haki za binadamu, mara ooh.. Hamas ni tawi la IDF.
Punguani waheed.
TakibiriiiiiiiAllahul akbar, allahul akubar, allaha akbar.
lllah illah illa llah, ashaadul anna muhamad rasul llah
Photoshop lililotengenezwa msikiti wa mchambawima. Danganya waumin wa mudi na al hussein.
Post namba 106 umeiona?Photoshop lililotengenezwa msikiti wa mchambawima. Danganya waumin wa mudi na al hussein.
Mazayuni wataikimbia ghaza kwa aibu kubwa sana nisuala la muda tuuuuu
Jordan ni 90% Wapalestina hao, unafikiri Hamas wote wanapayya mafunzo wapi?Hii so havard ni chuo huko JordanView attachment 2847045
Kama wameamua kufa mbona wanataka ceasefire dunia nzima.......Jordan ni 90% Wapalestina hao, unafikiri Hamas wote wanapayya mafunzo wapi?
Wapalestina safari hii wameamuwa, au wafe wote au wapate nchi yao wajitawale wenyewe.
Tena hawataki makuu wao, wansema mipaka iliyokubaliwa mwaka 1967 inatosha kabisa.
Tatizonlakonunatakankub7shqnqnb8lw mpango.Kama wameamua kufa mbona wanataka ceasefire dunia nzima.......
Basi inatakiwa watulie wote waishe wakawe mashahidi......Tatizonlakonunatakankub7shqnqnb8lw mpango.
Uislam wao unawafundisha kitu cha kwanza ni kuitafuta amani, inapokosekana basi hakuna budi mpigane. Ukifa unapigania ardhi yako unakuwa shaheed.
Kwani Palestine ni dunia nzimaKama wameamua kufa mbona wanataka ceasefire dunia nzima.......
Naungana nao wapalestineTofauti ya wapalestina na wayahudi ninmoja wayahudi wanapenda Sana uhai wakakti wapalestina waislam kifo ni ibada hivyo Hilo tatizo litakua kubwa kwakua wanasema tukio la October 7 litarudiwa hata mara milioni mpaka wayahudi waele nini wanatakiwa kufanya..
Saizi wanatafuta mlango wa kutokea huku wakitaka Kumtimua Netanyahu Kwa kuwaingiza Cha kike 😁😁Shirika la habari la Reuters limegundua kuwa wanamgambo wa Hamas wameweza kuigeuza mitaa ya Gaza iliyobomolewa kuwa ni mtego na tando la kuwaua askari wa Israel.
Idadi ya askari wa IDF waliothibitishwa na Israel yenyewe kufa katika vita hivi tayari imeshakuwa ni mara mbili zaidi ya vile ilivyotokea katika vita vya mwaka 2014.
View attachment 2845229
Hamas turns Gaza streets into deadly maze for Israeli troops