Hamas wameigeuza mitaa ya Gaza kuwa tando la vifo kwa askari wa Israel

Tazama vizuri uone alivyorushwa, hao wengine kabisa wamekuja kushangaa kamanda wao yuko wapi, na wao wakachezea kichapo.

Ipo version ndefu ya hicho kichapo. Tukuwekee?
Naona mnaanza kucheza Kibinda Nkoi, mnabinua kakalio kama manyigu pori.

Hawa mashujaa wenu wakianza kuchapwa msije mkaenda kulalama, ooh.. Umoja wa mataifa, ooh.. haki za binadamu, mara ooh.. Hamas ni tawi la IDF.

Punguani waheed.
 
Naona mnaanza kucheza Kibinda Nkoi, mnabinua kakalio kama manyigu pori.

Hawa mashujaa wenu wakianza kuchapwa msije mkaenda kulalama, ooh.. Umoja wa mataifa, ooh.. haki za binadamu, mara ooh.. Hamas ni tawi la IDF.

Punguani waheed.
Hawa ndiyo vijana wa Kitanzania wanaojifunza kilimo israel?👇🏾

IMG-20231219-WA0022.jpg
 
Jordan ni 90% Wapalestina hao, unafikiri Hamas wote wanapayya mafunzo wapi?

Wapalestina safari hii wameamuwa, au wafe wote au wapate nchi yao wajitawale wenyewe.


Tena hawataki makuu wao, wansema mipaka iliyokubaliwa mwaka 1967 inatosha kabisa.
Kama wameamua kufa mbona wanataka ceasefire dunia nzima.......
 
Tofauti ya wapalestina na wayahudi ninmoja wayahudi wanapenda Sana uhai wakakti wapalestina waislam kifo ni ibada hivyo Hilo tatizo litakua kubwa kwakua wanasema tukio la October 7 litarudiwa hata mara milioni mpaka wayahudi waele nini wanatakiwa kufanya..
 
Tatizonlakonunatakankub7shqnqnb8lw mpango.

Uislam wao unawafundisha kitu cha kwanza ni kuitafuta amani, inapokosekana basi hakuna budi mpigane. Ukifa unapigania ardhi yako unakuwa shaheed.
Basi inatakiwa watulie wote waishe wakawe mashahidi......
 
Tofauti ya wapalestina na wayahudi ninmoja wayahudi wanapenda Sana uhai wakakti wapalestina waislam kifo ni ibada hivyo Hilo tatizo litakua kubwa kwakua wanasema tukio la October 7 litarudiwa hata mara milioni mpaka wayahudi waele nini wanatakiwa kufanya..
Naungana nao wapalestine
Kuna muda unafika haqi haiombwi inapiganiwa tuuu
Ndio wanachokifanya hamas
 
Shirika la habari la Reuters limegundua kuwa wanamgambo wa Hamas wameweza kuigeuza mitaa ya Gaza iliyobomolewa kuwa ni mtego na tando la kuwaua askari wa Israel.
Idadi ya askari wa IDF waliothibitishwa na Israel yenyewe kufa katika vita hivi tayari imeshakuwa ni mara mbili zaidi ya vile ilivyotokea katika vita vya mwaka 2014.
View attachment 2845229

Hamas turns Gaza streets into deadly maze for Israeli troops

Saizi wanatafuta mlango wa kutokea huku wakitaka Kumtimua Netanyahu Kwa kuwaingiza Cha kike 😁😁
 
Back
Top Bottom