Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,392
- 33,045
Wanaukumbi.
⚡️Hamas wamebadili namna ya kupigana vita sasa hivi wanapigana vita vya kuvizia vimejipanga vyema kiasi kwamba walitega kamera kwenye maeneo ya kuua wanajeshi wa IDF na kujua ni wapi askari wanakwenda kutembea na mizinga itaingia wapi na ni jengo gani kwa askari watakimbilia, Netanyahu na Waziri wake wa Ulinzi wanasema wamewamaliza Hamas hamna tena Hamas Gaza.
Ni kazi bora ya kihistoria
View: https://x.com/me_observer_/status/1777746046887547359?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
⚡️Hamas wamebadili namna ya kupigana vita sasa hivi wanapigana vita vya kuvizia vimejipanga vyema kiasi kwamba walitega kamera kwenye maeneo ya kuua wanajeshi wa IDF na kujua ni wapi askari wanakwenda kutembea na mizinga itaingia wapi na ni jengo gani kwa askari watakimbilia, Netanyahu na Waziri wake wa Ulinzi wanasema wamewamaliza Hamas hamna tena Hamas Gaza.
Ni kazi bora ya kihistoria
View: https://x.com/me_observer_/status/1777746046887547359?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw