Nakushauri nenda kituo Cha afya kilicho karibu yako uongee na dactari, ukipata wa magonjwa ya akili itakuwa vyema zaidi japo dactari yeyote atakusaidia
Hapa lugha yetu imeathiriwa na dunia,yaani leo hii tuanze kutumia kiswahili kwa Kila Jambo,kumbuka lungha zinazotumika kimataifa lugha kubwa mojawapo ni English,na pamoja na kutumia Kama lugha ya kujifunzia shuleni bado utapata changamoto za hapa na pale unapotafuta fursa huko kwa wenzetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.