Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Jibu;
Nampenda kwa sababu zifuatazo
Nikiongozi wa Nchi...
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka...
Ndomaana Mayahudi yameweka mkia tumboni mamakke walijua kitakachofuata ni moto na nahisi wamejipima wakaona kina ni kirefu maana hata Bwanake alisema ukiyatimba mimi siji kukugombelezea!!!
Huyo ndiye muajemi katika vitabu vitakatifu katajwa kama taifa lililokuwa na nguvu sana! Hawakuwahi kushindwa vitya na inasemekana kuwa ndilo taifa pekee lilikuwa na wahandisi wengi na wenye vipaji yawezekana kila unachokiona middle east to Cairo walijenga wao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.