Recent content by KakaKiiza

  1. KakaKiiza

    Nampenda sana Rais wangu Mama Samia ila baadhi ya aliowaamini siwapendi!

    Ukiniuliza kiongozi gani unampenda mimi bila ya kupepesya macho nitakutajia Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Swali; Kwanini unampenda Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Jibu; Nampenda kwa sababu zifuatazo Nikiongozi wa Nchi...
  2. KakaKiiza

    Ninachokiona kwa Israel ni kuchanganyikiwa na vita!

    Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka...
  3. KakaKiiza

    HISTORIC FIRST: Hezbollah Launches "AIR-STRIKE" Against Israel

    The most important to hit the target!!No matter where is made
  4. KakaKiiza

    Salim Kikeke rasmi kwenda Crown TV

    Labda ni yake!
  5. KakaKiiza

    Erick Kabendera aitaka Vodacom imlipe Dola Milioni 1 kwa kufanikisha kutekwa kwake 2019

    Tunaanza kujitambua kuyasuu makampuni kwa kosa la kutuchukulia poa!
  6. KakaKiiza

    VIDEO: Iran inaadhimisha Siku ya Jeshi la Kitaifa kwa gwaride kubwa la kijeshi, likiwa tayari kwa vita kamili

    Ndomaana Mayahudi yameweka mkia tumboni mamakke walijua kitakachofuata ni moto na nahisi wamejipima wakaona kina ni kirefu maana hata Bwanake alisema ukiyatimba mimi siji kukugombelezea!!!
  7. KakaKiiza

    Kwa shambulio hili la Israel basi vita baina yao ndio basi. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake

    Akili huna search image inaonyesha hii Nikitu ya zamani
  8. KakaKiiza

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Hakuna cha kujibu karusha to drone tu tatu na twenyewe tumeshushwa!
  9. KakaKiiza

    Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

    Huyo ndiye muajemi katika vitabu vitakatifu katajwa kama taifa lililokuwa na nguvu sana! Hawakuwahi kushindwa vitya na inasemekana kuwa ndilo taifa pekee lilikuwa na wahandisi wengi na wenye vipaji yawezekana kila unachokiona middle east to Cairo walijenga wao!
  10. KakaKiiza

    Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

    Wachambuzi wa kisongo mpo sasa anasubiriwa yeye!
  11. KakaKiiza

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    We myahudi wa buza unaona Iran kama burundi enhe? Wakati hata kigamboni ujawahi kuvuka unaleta uchambuzi mabumunda
Back
Top Bottom