Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,973
- 3,744
Kwa haya mahaba mliyonayo kwa wayahudi na wazungu mtakuja kutiwa nani hii siku moja.Kila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Kwa haya mahaba mliyonayo kwa wayahudi na wazungu mtakuja kutiwa nani hii siku moja.Kila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Kuna Raha yake ata ivyo mnaendesha bunge huku mnasikirizia milindimo ya mizinga juu👍Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.
Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).
View attachment 2966784
War cabinet wanavikao sasa hv hii inaenda wiki vikao haviishi lakini lile shambulizi lingekuwa limefanywa na syria au hamas saa hz washaanza mashambulizi ya kulipiza kisasi hila kwa Iran vikao km vya harusiAkina Netanyahu na war cabinet wanapsawa kupelekwa rehab maana naona wamepata psychological torture kutoka kana na hii hali
Huku huudhi.huku hamas .
Huko lebonon huku irana inawapapasa hadi makalio ukisikia kuchangamyikkwa ndo huku sasa. Na matelka hawajaptikana
Angalia basi.Israel wamekubali Barabara ya kurukia ndege na ndege moja na jengo Iran ililodhania lina vifaa vya kijeshi vyote vilipigwa kwa kulengwa shabaha kutoka Iran,za idi ya kilomita elfu kutoka hapo.Hapo ndoo pabaya kuliko bunge, huyo Israel atulize mshono,ataumia? kwahiyo angeamua yasheke kwenye vinu yangeshuka hapo hapo?
Silaha hakuna shaka wanazo kama hizo za Iran lakini moyo ndio umeanza kuwaondoka mwilini.Hawana ujanja wala uwezo wa kurudisha mapigo. Kwanza silaha za kufika Iran hawana, lakini pia uwezo wa kuingia vitani na Iran peke yao hawana pia.
wanahisabati waislamu ambao hizo habari za anga wanazoringia Israel na Marekani walikuwa na uhusiano na eneo la Persia ingawa walikaa zaidi Iraq.Huyo ndiye muajemi katika vitabu vitakatifu katajwa kama taifa lililokuwa na nguvu sana! Hawakuwahi kushindwa vitya na inasemekana kuwa ndilo taifa pekee lilikuwa na wahandisi wengi na wenye vipaji yawezekana kila unachokiona middle east to Cairo walijenga wao!
imagine mifumo ya ulinzi inadaka baruti!!!hiyo mifumoina shida sana,na kweli Iran ilirusha makombora mengi feki ili kuuweka bize mfumo huo wa mchongo wa ulinzi huku yale makombora ya kweli yapate kupiga kwenye target,sasa Iran wangekuwa siriaz siku ile leo si tungekuwa tunawaombeleza wateule wa mchongo???Kila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Iran wamedhihirisha kuwa wanaweza.Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.
Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).
View attachment 2966784
Ndipo fikra zako zilipoishia?Kila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Waludi=WarudiUnataka kuwaponza waludi utumwani mkuu?
Na mara nyingi mtu anayetajataja kitu mara kwa mara kwamba anakichukia huwa ni kinyume chaketaifa teule la mashoga
AahaaaNimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.
Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).
View attachment 2966784
AahaaasKwanza huyo Mungu wa Israel ni mdhaifu na mzembe sana, Alishindwa kuwaokoa waisraeli kwenye concentration camps za Adolph Hitler wakauwawa maelfu na maelfu.
Halafu kuna wajinga huku Afrika wanasali kwa Mungu wa Israel awaokoe...😄😄
Unatania!Hawana ujanja wala uwezo wa kurudisha mapigo. Kwanza silaha za kufika Iran hawana, lakini pia uwezo wa kuingia vitani na Iran peke yao hawana pia.
🤣🤣🤣 mkuu ina maana hujaiona hiyo hatari licha ya dharau ya namna hii kwa serikali ya israeli?Kuna Raha yake ata ivyo mnaendesha bunge huku mnasikirizia milindimo ya mizinga juu👍