whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 741
- 1,551
eti unasema israel amekaa miaka mingap afghanistanIsrael amekaa afganstan miaka 20 sembuse hio ya ukraine na israel ambayo hana wanajeshi wanaopigana direct acha uongo
eti unasema israel amekaa miaka mingap afghanistanIsrael amekaa afganstan miaka 20 sembuse hio ya ukraine na israel ambayo hana wanajeshi wanaopigana direct acha uongo
Ni usa typing erroreti unasema israel amekaa miaka mingap afghanistan
Urusi hawezi kuiunga mkono Iran!; Kama alivyo waunga mkono domoni warabu ktk vita vyao zote na Yahudi lakini rohoni yupo na Yahudi!Mkuu hujui lolote na unapotosha. Iran kapigana na Iraq ya Saddam Hussein iliyokuwa inaungwa mkono na Marekani na nchi zote za magharibi pamoja na majirani kama Saudia, Kuwait UAE na wengineo kwa miaka minane kuanzia 1980 hadi 1988 na technically alishinda ile vita. Nikujibu yafuatayo:
1. Iran hawana matatizo makubwa mno ya kisiasa ndani ya nchi yao. Kama yapo yataje.
2. Iran anaungwa mkono na Urusi na China. Tena Iran ni msambazaji mkubwa wa silaha anazotumia Urusi kule Ukraine zikiwemo Shaheed 136 drones ambazo zinasumbua sana Ukraine.
3. Hakuna hata mwaka mmoja Waarabu waliwahi kuiunga mkono Iran. Ukiachilia mbali masuala ya kiitikadi Waarabu na Waajemi walikuwa maadui wa jadi. Hata kwenye vita vya Iran na Iraq Waarabu wote walimuunga mkono Saddam Hussein. Kwahiyo hoja yako haina mashiko
4. Hayo mataifa makubwa yanayomuunga mkono Israel hayako tayari kwa vita nyingine kubwa. Vita ya Ukraine imewafilisi na mpaka sasa wanashindwa hata kutuma silaha na Zelensky kutwa anapiga kelele apewe fedha na silaha lakini hapati. Juzi shambulizi la Iran limeigharimu Israel USD 3.5BN ndani ya usiku mmoja tu. Vipi kama vita ikipiganwa mwezi mzima?
Usiandike tu kwa mihemko ya kiimani. Check your facts before writing.
Naona unatetea uzi wako. Umefungua uzi na unataka watu wajibu kwa kukufurahishaHilo ndio wanaloliweza. Kashambulio ka kushtukiza kamefanyika, lakini kametulizwa. Yani mpaka sasa dunia haijui hata kama kuna kashambulio kalifanyika Iran.
Source?Urusi hawezi kuiunga mkono Iran!; Kama alivyo waunga mkono domoni warabu ktk vita vyao zote na Yahudi lakini rohoni yupo na Yahudi!
Kihidtoria viwanda Silaha vyote vya urusi yupo Yahudi!
ktk vita zao zote na Yahudi!
Kihidtoria Anzia vita kuu ya Pili ya Dunia Yahudi wengi walikimbilia Rusia kukimbia kisago Cha Hitler.....
Kajifunze kwanza kuandika ndipo uje kubishana na mimi. Kubishana na kilaza ni matumizi mabaya ya muda.Urusi hawezi kuiunga mkono Iran!; Kama alivyo waunga mkono domoni warabu ktk vita vyao zote na Yahudi lakini rohoni yupo na Yahudi!
Kihidtoria viwanda Silaha vyote vya urusi yupo Yahudi!
ktk vita zao zote na Yahudi!
Kihidtoria Anzia vita kuu ya Pili ya Dunia Yahudi wengi walikimbilia Rusia kukimbia kisago Cha Hitler.....
🤣🤣🤣E bana sir unanivunja mbavu am in stitches
Iranian nuclear sites are very hard to hit. Zimejengwa underground kilometa kadhaa chini halafu juu kuna layers kibao za zege kali. Huku juu ni majengo tu lakini mitambo yenyewe haifikiki hata kwa bunker bursters za MarekaniHamna kaka kwa hapa naweza sema Israel ndio muoga kwasababu kafanya shambulizi dogo na la kitoto sana,drone zilizorushwa zimetunguliwa zilikua tatu pia makombora ni idadi ndogo ukilinganisha na aliyorusha Iran.
Inavyoonekana alilenga kushambulia ama kulipua Iran nuclear facility hapo Isfahan ila shambulio limefeli.
Prove this claim kuwa Viwanda vyote vya urusi yupo yahudi. (Au unataka kutuchekesha? 🤣 🤣 🤣 )Urusi hawezi kuiunga mkono Iran!; Kama alivyo waunga mkono domoni warabu ktk vita vyao zote na Yahudi lakini rohoni yupo na Yahudi!
Kihidtoria viwanda Silaha vyote vya urusi yupo Yahudi!
ktk vita zao zote na Yahudi!
Kihidtoria Anzia vita kuu ya Pili ya Dunia Yahudi wengi walikimbilia Rusia kukimbia kisago Cha Hitler.....
God JESUS BLESS and PROTECT ISRAEL
JESUS AND ISRAEL FIRST AND FOREVER
Israel FOREVERProve this claim kuwa Viwanda vyote vya urusi yupo yahudi. (Au unataka kutuchekesha? 🤣 🤣 🤣 )
Israel haina silaha yake bali ni silaha za Marekani kwenye mikono ya Israel. Iran inatengeneza silaha zake yenyewe tena silaha bora kabisa na nyingine anazitumia Urusi kule Ukraine mfano Shaheed 136 drones. Kwa teknolojia ya kijeshi Iran kaizidi Israel mbali sana. Kinachoisaidia Israel ni msaada wa Marekani na washirika wake.Israel sio Iran haiitaji Makombora 500 wala baliistic missiles 150.
Israel kila silaha yake inathamani
Wote tunajua Ayotollahs ni mabingwa wa kukanusha hata kama wamepigwa🤔Tunaomba hizo picha za uharifu.
Amerika hawezi kukaa kando, yule ni mfanyabiashara kazi yake kuuza silaha. Hata vita vilivyopita vya dunia yeye ndio alikuwa msambazaji WA silaha. Mnafiki tu marekani na ndio fisadi No.1Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Unajua mambo mengi hayapo official nikama ilivyo wengi wanafikiri Rais wa nchi ndiyo kiongozi wao kumbe nyuma ya pazia kuna watu wana run kila kitu Rais ana kuwa ni kisemeo chao. Hii familia ya Rothschild unaweza kuingia deep na kuona namna walivyo ishika dunia.Hizi ni official data au ni dark news.....???
Mbona uliamini Israel ilipokuambia asilimia 99 ya makombora ya Iran yalitunguliwa?Pole sana mkuu nategemea Iran watajibu