Kwa aliye kwenye ndoa na akampata bikra anajua tamu anayofaidi kwenye usaliti ni vigumu sana kuwakuta
Pia nyongeza mwanamke kutoka nje ya ndoa ni ngumu sana maana hawa viumbe na akiwa na watoto fikra zake kubwa ni kuifikiria kesho yenu
Wengi wanaotoka nje ya ndoa ni penzi kabla ya kuolewa...
Shida kama lilikuwa linapita Lori la mizigo wewe uwe na vits mbona utaona ndoa ngumu
Ndio maana foleni haziishi kuongeza maumbile na vijiwe vya kujiboost na pweza ukamridhishe bado ngoma nagwa tu
Ukimpata bikra una raha sana maana hata uwe na ndogo hiyo hiyo ataizoea
Ukibahatika bikra ina raha yake sana kwenye ndoa binafsi mke wangu nilimpata akiwa nayo mwaka wa saba nane (2015)kwenye ndoa watoto watatu kiukweli hawa watu neno kuchepuka halipo pia wanapenda sana sababu kuonjwa ni kwa mmoja tu
Kwa dunia ya sasa mwanaume ni ngumu kusimama mke wangu hatoki nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.