Recent content by eastzoododoma

  1. E

    Intern- Gender and Respectful Care Jhpiego

    Habari wakuu Kama kuna mtu humu ndani alikuwa shortlisted kwenye position ya Intern Gender and Respectful Care at Jhpiego na kufanya interview jana naomba tufahamiane
  2. E

    Nina shida na Mtumishi wa THPS (Tanzania Health Promotion Support)

    Ndio maana na mimi natafuta mkuu! Kama kuna mtu anamjua nicconect nae! Dau lipo kubwa kwa ajili yenu kama kuonesha shukurani zangu!
  3. E

    Nina shida na Mtumishi wa THPS (Tanzania Health Promotion Support)

    Naomba ni connect na mtu unayemjua mkuu
  4. E

    Nina shida na Mtumishi wa THPS (Tanzania Health Promotion Support)

    Ni kweli mkono mtupu haulambwi!Nitumie no zako pm mimi nashindwa kukutext inakataa mkuu
  5. E

    Nina shida na Mtumishi wa THPS (Tanzania Health Promotion Support)

    Habarini, Nilikuwa naomba kama kuna mtumishi yoyote wa THPS humu ndani naomba tuwasiliane. Asanteni
  6. E

    Natafuta Ajira, nipo tayari kwa Mkoa wowote

    Habarini ndugu zangu, Mimi ni muhitimu wa kozi ya Bachelor of Science in Nursing (Nursing Officer). Nilikuwa naomba kama kuna mwajiri au mtu yoyote mwenye connection ya kazi inayoendana na kozi yangu anisaidie. Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote Shukrani🙏🏾
  7. E

    Mahusiano na mabinti wa siku hizi zinaboa sana

    Daah huu muandiko hapana aisee😂😂
  8. E

    Haaland ni tatizo Man City atachemsha ataondoka

    Umeanza kuangalia mpira lini mkuu baada ya halland kusajiliwa Man City au😂 Pole sana aisee
  9. E

    Natafuta Ajira, nipo tayari kwa Mkoa wowote

    Habarini ndugu zangu, Mimi ni muhitimu wa kozi ya Bachelor of Science in Nursing (Nursing Officer). Nilikuwa naomba kama kuna mwajiri au mtu yoyote mwenye connection ya kazi inayoendana na kozi yangu anisaidie. Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote Shukrani🙏🏾
  10. E

    Madhara niliyoyapata baada ya kutumia vumbi la Kongo

    Sijapata kaka unajua dawa yake??
Back
Top Bottom