Habarini wakuu,
Naomba msaada wa Data Recover ambazo kwa Bahati Mbaya nili fomati hivyo taarifa za kwenye Folder and Files zimepotea zote.
Hivyo kama kuna namna au kuna Software inaweza fanikisha au mtaalamu wa kuweza kufanikisha zoezi tafadhali msaada wake unahitajika.
Nipo Dar Es salaam...
Kwa mujibu wa mikataba ya Kimataifa kwa wanyama walio kwenye hatari zaidi ya kutoweka, kisheria Chura huyu hawezi kufanyiwa biashara ya aina yeyote hapa duniani kumuuza au kumnunua!!
Sent using Jamii Forums mobile app
CompaQ
Ni jina la Kompyuta ya kwanza Kuiona na Kuigusa mnamo mwaka 2004.
Ndio ilikuwa mara ya kwanza kuiona Kompyuta na kuigusa.
Hivyo nikaona sio Issue avha iwe Nick nickname yangu.
Habari
wataalam wa Teknologia katika Hali isiyotarajiwa Website ya Bodi ya Mikopo kw Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilikuwa Hacked na wataalam wanaojiita " watu wasiojulikana Tanzania" ila naona mafundi Bodi ya Mikopo wamefanikiwa kuirudisha hewani.
katika kipindi Hiki ambacho wanafunzi wa elimu ya...
Habari,
Natafuta Dell Latitude E7270 iwe ni mpya au mtumba naomba uweke specification za chombo hicho ulichonacho (Dell tajwa), bei na eneo na Mawasiliana.
Mie nipo Morogoro.
asante.
KAZI NA WAJIBU WA AFISA MTENDAJI WA KATA
Kutokana na Waraka Wa Maendeleo ya Utumishi wa Serikali za Mitaa namba 29 wa Mwaka 2003, pamoja na sheria iliyofanyia marekebisho Sheria za Serikali za Mitaa namba 13 ya mwaka 2006 kazi za Afisa Mtendaji wa Kata ni:_
•Kumwakilisha na kumsaidia Mkurugenzi...
mwambie huyo Mwalimu ajisajiri hapa baada ya masaa 24 ataoakua Salary slip kwa mwaka huu wa fedha.
https://salaryslip.mof.go.tz/Account/Login?ReturnUrl=%2F
unashauri iandikwe vipi?
Huo mchango si Mlikubaliana kwenye mkutano mkuu wa Kijiji kuwa Mchange kiwango hicho na mkaridhia kabisa kuhusu kuchangia sasa unalalamika nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.