Wapendwa kama ambavyo nimeandika hapo, naomba msaada wa kitaalamu jinsi ya kuendesha biashara hii.
Sijafungua ila nimesha fanya maandalizi ya chumba pamoja na vifaa baadhi, ishu kubwa itakuwa kwenye ku-manage pesa na wafanyakazi nk.
Tena tutaishi vizuri sana, kwasasa tunaishi kwa bajeti ya pesa ambayo haipo mkononi, "mchongo ukikaa sawa nanunua kiwanja" afu mchongo unaruka kijiji, sawa na tenesko, unasema umeme ukirudi nitapona, unapumua kwa tabu mpka unakufa yenyewe yamekaa tu kama uji unasubiri kumiminwa [emoji36]
Huyu nilie nae akiona nimekaa kimya huwa anatuma hela unashangaa Imethibitishwa 50000...
Ili tu nimpigie nimwambie Asante nimepata, sasa tayari hapo nitakuwa tayari nimeshampigia nimevunja mashart
Nilipiga huduma kwa wateja nikaulizwa ulishawahi kuripot account yako ifungwe nikwaambia hapana,
Wakaniambia niende vodashop nikatumia nauli
Nafika pale naambiwa kuna mtu ali riport ifungwe na isifunguliwe bila kupigiwa yeye na kaweka namba yake hapo, haya mpigieni hapatikani, basi nipeni namba...
Vodacom takataka kabisa, yaani mtu anapiga simu from no where kunifungia huduma za mpesa na nyie mnakenua meno na visamvu vyenu kwenye meno mnaifunga kweli! Takataka
Hii post nadhani ni ya siku nyingi ila, alikujibu kistaarabu sana hukuwa mwelewa tu labda kwasababu ya hiyo mashine ambayo ilikuingizia gharama kubwa ya umeme huwenda ulivurugwa ukaona hajafika hiyo robo ya majibu but for sure the guy is perfect on this things
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.