Search results

  1. Bwanamaya

    Msaada wa namna ya kuendesha biashara ya mgahawa ambao ni Classic, ingawa siyo sana

    Barikiwa sana mkuu, hili nalo linafikilisha sana nashukuru
  2. Bwanamaya

    Msaada wa namna ya kuendesha biashara ya mgahawa ambao ni Classic, ingawa siyo sana

    Nashukuru sana kwa ushauri mzuri nimekuelewa vyema...sema hapo mwisho sasa[emoji28][emoji28]
  3. Bwanamaya

    Msaada wa namna ya kuendesha biashara ya mgahawa ambao ni Classic, ingawa siyo sana

    Wapendwa kama ambavyo nimeandika hapo, naomba msaada wa kitaalamu jinsi ya kuendesha biashara hii. Sijafungua ila nimesha fanya maandalizi ya chumba pamoja na vifaa baadhi, ishu kubwa itakuwa kwenye ku-manage pesa na wafanyakazi nk.
  4. Bwanamaya

    Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

    Tena tutaishi vizuri sana, kwasasa tunaishi kwa bajeti ya pesa ambayo haipo mkononi, "mchongo ukikaa sawa nanunua kiwanja" afu mchongo unaruka kijiji, sawa na tenesko, unasema umeme ukirudi nitapona, unapumua kwa tabu mpka unakufa yenyewe yamekaa tu kama uji unasubiri kumiminwa [emoji36]
  5. Bwanamaya

    Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

    Huyu nilie nae akiona nimekaa kimya huwa anatuma hela unashangaa Imethibitishwa 50000... Ili tu nimpigie nimwambie Asante nimepata, sasa tayari hapo nitakuwa tayari nimeshampigia nimevunja mashart
  6. Bwanamaya

    Yaliyojiri Weekend ya jana Kidimbwi

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. Bwanamaya

    Nakukumbuka Festo

    Nahisi kumdai chenji[emoji28]
  8. Bwanamaya

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Nilipiga huduma kwa wateja nikaulizwa ulishawahi kuripot account yako ifungwe nikwaambia hapana, Wakaniambia niende vodashop nikatumia nauli Nafika pale naambiwa kuna mtu ali riport ifungwe na isifunguliwe bila kupigiwa yeye na kaweka namba yake hapo, haya mpigieni hapatikani, basi nipeni namba...
  9. Bwanamaya

    Nakukumbuka Festo

    Unatushawishi tuanze tabia mbaya usiku huu[emoji28]
  10. Bwanamaya

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom takataka kabisa, yaani mtu anapiga simu from no where kunifungia huduma za mpesa na nyie mnakenua meno na visamvu vyenu kwenye meno mnaifunga kweli! Takataka
  11. Bwanamaya

    Incubators: Changamoto zake, Jinsi ya kupata ufanisi mzuri na mafanikio zaidi kwenye incubator yako

    Hii post nadhani ni ya siku nyingi ila, alikujibu kistaarabu sana hukuwa mwelewa tu labda kwasababu ya hiyo mashine ambayo ilikuingizia gharama kubwa ya umeme huwenda ulivurugwa ukaona hajafika hiyo robo ya majibu but for sure the guy is perfect on this things
  12. Bwanamaya

    Nawezaje kupata VPN bila kuwa na App?

    Wakuu salam, Samahani hivi inawezekana kuwa VPN bila kuwa na app? Maana kwenye simu kuna ile sehemu ya ku add vpn yaani ile alama ya +, tafadhali naomba mwongozo. Asanteni sana
  13. Bwanamaya

    Ni watu wachache sana wanabahatika kuoa 'Soul Mates'

    Haki naona njia ya kwa kipa aise
  14. Bwanamaya

    Ni watu wachache sana wanabahatika kuoa 'Soul Mates'

    Mimi huyu mwanamama hataki mdada wa kazi afu mambo yake vululu yaani kama saa hizi nimeshamaliza usafi (kufua nguo zangu) nk sasa nastua kinywa niende zangu mzigoni, namuona anacheka tu na mawasapu yake...
  15. Bwanamaya

    Ni watu wachache sana wanabahatika kuoa 'Soul Mates'

    Umeniweza yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  16. Bwanamaya

    Ni watu wachache sana wanabahatika kuoa 'Soul Mates'

    Na kiujumla ule wimbo huwa siupendi tu[emoji28]
Back
Top Bottom