Salaam wakuu natumaini humu nyote ni wazima wa afya.
Kwa sasa jina langu nililokuwa nalitumia mwanzo la Mohamedex121 nimeamua kulichange na sasa mnaweza kunipata katika threads kama Mohamed...
Habari wana jf naomben mnipokee katika ukurasa huu pendwa wa jamii forum mnielekeze ndugu yenu yale nayostahili kuelekezwa ili tuweze kushirikiana vizur katika mambo yetu ya jamii
Naitwa termux from (Tanganyika) Darusalaam Tupambane kwa ajili ya Tanzania bora na ya wazalendo.
•Nina furaha kujiunga na JF
Tanganyika kwanza (Tamaduni zetu na maadili yetu )
#Dini zilikuja...
Holla wakuu,
Nimerudi tena Jamii Furum, since 2017 finally leo ndio na Login naomba ushirikiano wenu, wakuu, by professional ni FUNDI UMEME karibuni pia naomba mnipokee.
Habar ya wakat huu wapendwa mimi ni mwanachama wa jf nilikuwepo muda tangu 2021 lakin sijajitambulisha kwenu...naombeniii mnipokeeee na ni fresh graduate natafuta internship ilii kupata experience...
Nimeingia kwenye mji huu wa kidijitali ila kabla hata siku haijaisha nimeona ni uungwana kuwasalimu kwanza wenyeji.
Nimekuwa ni msomaji wa muda mrefu wa jamiiforums katika majukwaa kadhaa ila...
Wakuu za sahizi,
Mimi babu yenu nimeamua kujiunga nanyi leo, hii
Baada ya kuuona huu mtandao ukipewa support kubwa sana na watu mbalimbali
Mimi nime staafu kazi X niliyoitumikia kwa mika 35...
Nawasalimu kwa jina LA jamuhuri wa muungano
Me Nimgeni jamvinii naombeni mnipokee mnipe ushirikiano.
Napi napenda kuwa kumbusha, Baadhi ya watu wanao kejeri wenza wanapo leta nyuzi zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.