Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Niaje wakuu JamiiForums mitano tena nimelipenda hili chama limenifurahisha nimeamua kujiunga nalo sina mengi.
5 Reactions
10 Replies
278 Views
Hello group, I am a new entrant!
4 Reactions
14 Replies
452 Views
Habari JF members, naomba mnipokee.
2 Reactions
10 Replies
462 Views
Nawasalimu kwa Jina la Mungu mwenye Rehema na upendo mkubwa! Wana JF nimeingia Hapa kwenu leo nikigonga hodi Katika milango ya Mawazo yenu. Nipokeeni kwa Moyo mkunjufu na Upendo kamili!
2 Reactions
9 Replies
318 Views
Hellow naitwa linyimuka ni mtaalamu wa masuala ya mahusiano na ukaguzi
2 Reactions
8 Replies
237 Views
Mimi Mgeni humu, naomba kupokelewa. Nina asili ya uandishi, utafiti na uanasiasa. Nitakuwa nanyi katika mambo yote yanayohusiana na haya. Ahsanteni.
5 Reactions
7 Replies
318 Views
Hello guys, Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi. Shukrani
3 Reactions
10 Replies
218 Views
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju. Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani...
2 Reactions
9 Replies
435 Views
Am new member
1 Reactions
13 Replies
445 Views
Hatimae nami nimefika humu ndani mpo jamani nimetokea Facebook, napatikana mlandizi Kijiji Cha Masangu kata ya magagura Mkoa Ruvuma
4 Reactions
39 Replies
823 Views
Habari wadau kwa majina kamili naitwa Hussein Mohamedi Bendera natumia Nyanda Banka kama nickname
2 Reactions
5 Replies
397 Views
Hakuna jipya
0 Reactions
6 Replies
319 Views
Habari za wakati huu? Ninatumai wewe unaesoma ujumbe huu ni mzm wa afya ila kama una changamoto ya kiafya pole sana Mwenyezi Mungu akupe wepesi, mie ni mgeni humu na ni Mwanasheria...
1 Reactions
5 Replies
572 Views
Habari zenu wakuu mimi ni fundi friji, nafurahi kujiunga nanyi. Natumaini kujifunza mengi.
1 Reactions
4 Replies
229 Views
Habari za muda huu wana JF. Hongeren kwa majukumu na Mungu awabariki sana.
1 Reactions
12 Replies
686 Views
Habar zenu wakuu naitwa anania monge nimerudi naomba mnipokee
3 Reactions
15 Replies
381 Views
hi,chief wa wanyamwez ni member mpya humu ndani
1 Reactions
12 Replies
493 Views
Hi
Mgeni hapa
1 Reactions
7 Replies
320 Views
Hello wana Jamii. Nimekuwa nikisoma majadiriano mengi ya wana Jamii forums kwa mda wa miaka mitano sasa. Ila karibuni ndiyo nimeamua kujiunga rasmi nami niwe mmoja wapo wa wachangiaji na kuweza...
3 Reactions
6 Replies
307 Views
Wakuu habari za humu, naomba mnikaribishe humu JF tuendelee lisukuma jurudumu
2 Reactions
8 Replies
196 Views
Back
Top Bottom