Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo, naomba mwenye kufahamu niwapi nitapata cheapest domain. Pia,ninahitaji kujua mfumo mzima kama hosting inakuaje na gharama zake.
1 Reactions
5 Replies
170 Views
Habari zenu wana tech, Narudi tena na tena kwa mara nyingine, lengo kuu likiwa ni kufahamishana kuelimishana na kuhamasishana kwenye nyanja hii muhimu ya Tech, Gadgets & Science Forum. Kama...
12 Reactions
71 Replies
4K Views
Msaada jamani nimeibiwa simu jana jioni samsung s23ultra, wenye uwezo wa ku-trace kila kitu chake ninacho.
0 Reactions
10 Replies
302 Views
Wakuu zangu nliomba kujuzana juu ya chanel mbalimbali za DSTV...Ama wewe mpenzi wa DSTV unaifurahia chanel ipi katika kujifunza kwako. Nawasilisha
0 Reactions
18 Replies
530 Views
Nataka nitengeneze App ya TV ambayo ndani yake kutakuwa na channels za kutizama mpira na vipindi mbalimbali vya TV (movies, news) Je, zina faida? Au nitawezaje kunufaika nayo?
0 Reactions
10 Replies
232 Views
Wakuu habari, naombeni msaada wenu, Iko hivi kuna manzi niko nae, ex wake alichukua simu ya manzi wangu na kuni block kwenye calls za kawaida. Yaani nikipiga au manzi akicheki simu zinakuwa...
4 Reactions
38 Replies
687 Views
Hello my jf friends[emoji112] hii ni thread yangu ya kwanza nabandika hapa jukwaani lakini sio kwamba niko expert sana kwenye haya mambo ila ni passion tu ndo inanisukuma pia napenda kushare kama...
14 Reactions
86 Replies
8K Views
hapo kabla kulikua na huduma ya kuhamisha bando (MB 250) kutoka namba moja kwenda namba nyingine sasa ivi naona hii huduma wamesha itoa bila hata ya taarifa. Pia hii ilikua ni amri kutoka TCRA...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hili limekua tatizo kubwa sana kwa simu za kitochi 4G ukiitumia baada ya muda Fulani Kanaganda yaani ukiiwasha haiwaki inaishia hapo tu kwenye "karibu tigo". Je, unaweza kutumia mbinu gani...
9 Reactions
64 Replies
6K Views
Nina Mifi router ya tigo, inaitwa HOME INTERNET Sasa nataka kuconnect na laptop yangu Nifanye configuration Ili niweze kutumia WIFi Msaada Kwa mtu ambae ana router kama hii tafadhari.
1 Reactions
9 Replies
165 Views
Habari Jamii! Nimekuwa nikifikiria sana jinsi teknolojia inavyobadilisha jinsi tunavyoishi na kufanya kazi leo. Kutoka kwa simu zetu za mkononi hadi kwa matumizi ya AI, teknolojia inaingilia kati...
0 Reactions
8 Replies
248 Views
Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme. Induction cooker Multi Cooker
3 Reactions
87 Replies
3K Views
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo. Niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za...
2 Reactions
675 Replies
134K Views
Wakuu habari za mchana, Naomba kueleweshwa kwa mwenye kujua tofauti kati ya Mac book Pro na Mac book Air (apple) maana kuna jamaa kaniambia anayo na mimi nahitaji mac book so sijui ipi nzuri...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Huawei amezindua series za Pura 70 nchini China ikifungua ukurasa mwingine wa maendeleo pamoja na vikwazo vya Marekani. Ripoti zinasema simu hiyo imetumia zaidi vifaa vinavyotengezwa China kuliko...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Nielimisheni hii kitu sote tunajua tunaishi layer ya trotosphere 0-20 km na ndo kwenye hewa nzuri ya oxygen. Ndege za abiria zinakwenda stratosphere sasa ndege inatumia mfumo gani mpaka mnavuta...
2 Reactions
6 Replies
326 Views
Hi Wana JF Tanzania tuko na mitandao mitatu ya simu inayo toa huduma ya internet.Kati ya hiyo ni upi ambao huduma zao ni faster sana. Na rate zao ni sh ngapi kwa KB or MB kadhaa?..nafahamu...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
nimeambiwa hiki ni kifaa cha kuweza kuweka lain za sim nyingi hadi laini 8 kwa wakati mmoja kwa pamoja, naomba kuuliza inaruhusiwa kisheria kumiliki hiki kifaa na kama ni ndio kinapatikana wapi...
0 Reactions
11 Replies
656 Views
Nimeona jamaa hawa wanatangaza internet yao ya satellite kwa 60k kwa mwezi. Huko nyuma nomewahi sikia kwamba internet ya satelilite huwa slow sana ukifananisha na ya cable/minara. Pia naona...
7 Reactions
88 Replies
10K Views
Habari za muda wazee Hivi Hapa dar es salaam maeneo ya Gongolamboto Mpaka Huku Banana Kuna Sehemu yeyote Kuna internet Cafe Nakama ipo Kushusha file nzito almost Gb 20-30 wanachaji kiasi gani...
0 Reactions
9 Replies
456 Views
Back
Top Bottom