Kama kichwa kinanyojielezea nyumba ya vyumba vitatu vya kulala kimoja master sitting room, dining na jiko na Choo cha public nyumba ni mpya kabisa ina eneo kubwa la kulaza ata gari 4 na tenki la...
Nyumba inapangishwa Tabata shule.
Nyumba ipo ndani ya fensi ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, choo cha ndani, maji ya bomba.
Kodi laki mbili kwa mwezi
Call me 0747744895
Mnakaribishwa.
Ni Apartments zenye nyumba Nne za Ghorofa ( Up &Down ) Ndani ya Fence yenye eneo kubwa na lenye utulivu wa kutosha, Huduma zote muhimu (Maji ya Dawasco, Umeme na barabara inayopitika vizuri 300m...
Chumba na sebure vinapangishwa kinyerezi kabla ya kufika kabisa la Roma stand ya zamani unaingia ndani kidogo karibu na msikiti wa kimbekete na karibu na transfoma ni karibu na kituo Cha magari...
Habari wadau.
Vyumba vizuri vyenye furniture zake ndani vinapangishwa Ubungo Riverside.
Vyumba hivi vina kitanda 5 x 6 na godoro, meza za kusomea, sehemu za kuwekea vitabu ama vitu
Vyumba hivi...
Kama wewe ni dalali uliobobea unaruhusiwa kushiriki nasi. Hii inakuhusu. Nyumba na kiwanja kikubwa karibu na shule ya renea Njiro inauzwa.
Ina kiwanja kinachojitosheleza kuendelea kuijenga au...
Habari za mwaka mpya ndugu zangu ma GT.
Leo nawaletea habari nzuri, kuwa nina nyumba 3 nazipangisha KODI kwa mwezi ni shilingi 100,000/= tu.
Pia jinsi gani ya kilipia Kodi yako ya mwezi utachagua...
#Kigamboni city. Apartment for rent. Tsh 250,000/= tu Chumba kimoja Cha kulala ambacho ni Master. , ukumbi na jiko. Zipo nyumba 9 zinatumia geti moja kuu, pia Kuna ghorofa ambapo ground floor...
Call 0652 180 400 Kigamboni city apartments for rent. One Master bedroom, kitchen and hall. Price is 200,000 / = Tsh Per month. They depend on everything water and electricity.
Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala na kimoja ni master, Jiko, store, dining room, sitting room,,public toilet.. Mazingira mazuri.
Nyumba ipo Kigamboni Kisiwani.
0652180400
Kama unahitaji nyumba ya kupanga mkolani Mwanza hujachelewa.
Ni nyumba yenye chumba kimoja cha kulala(Master) na sebule(Ipo ndani ya Geti), vyumba ni vikubwa, unalipia 120,000 kwa mwezi(kuanzia...
Chumba kimoja cha kulala ambacho ni master,jiko, ukumbi. Na ndan Kuna Min supermarket inajengwa . zipo nyumba Tisa sehem moja. Mazingira mazur, zinajitegemea maji na umeme. Kodi ni 200,000/= Kwa...
Nyumba inapangishwa ipo kahama buswelu manispaa ya Ilemela ipo pembezoni mwa barabara itokayo buswelu kwenda Ilalila, ina vyumba vitatu, viwili master, public toilet ya ndani na nje ,sitting room...
Mahali - Bunju A
Kodi - Tshs 200,000
Maelezo Zaidi - 0742141467
Chumba masta, Sebule, Jiko.
Umeme luku yake, Maji ya dawasa, Fensi, Parking, Karibu Na kituo cha daladala.
Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule, Choo cha public ndani Na Jiko.
Kodi kwa Mwezi ni Tshs 250,000
Mahali goba, kwa awadhi
Umeme Submita yake, maji Dawasa, fensi geti, parking ipo.
Maelezo...
chumba na seble ni vzuri sana
gypsum board na tiles
rangi mpya
choo kizuri
madirisha mawil mawili seblen na chumbani
kina kodi ya miezi minne,alioko ndani ameamishwa kikazi anahama
unatembe dk 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.