Habari za majukumu wanazengo
mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu...
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.
kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.
Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.
Bei ni million 30 tu.
Umbali kutoka barabarani ni km 2...
Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30.
Bei ni milioni 14
Nyaraka Serikali za mitaa.
Huduma zote za kijamii zipo
0762282526
VIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO...
Shamba lipo Zinga kwa Mtoro kilomita moja na nusu kutoka barabara kuu ya lami ya Bagamoyo(Bagamoyo road).
Shamba lina ukubwa wa heka sita na nusu(6.5).
Linafaa kwa matumizi ya kilimo, kujenga...
Location: Songea Mjini (Mateka)
Ukubwa: nusu hekari
HATI miliki IPO
Umeme, maji
Bei ni 6 million
Contact: 0758234233
Mbeele
..
,.
NYUMa
Umbali ni kama dakika 5 tu Toka Songea Mjini(Usafiri
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga &...
Nauza kiwanja Kibamba Gogoni Dar, ukubwa wa mita 20 kwa 20, umbali wa km 1 toka stand /Morogoro road, miundombinu ya maji na umeme pamoja na barabara vipo.
Bei ni 8 millions(mazungumzo yapo)...
Kibaha msangani juhudi.
Kipo karibia na stend ya bajaji
Km 5 KUtoka morogoro road
Ukubwa mita 20 kwa 20
Milioni tatu na nusu.
Barabara nzuri ya lami.
Umeme na maji vimefika.
Shamba lipo Chalinze Pingo,usawa wa kiwanda cha tiles.
Km 4 kutoka Morogoro road.
Katika shamba kuna kijumba cha vyumba viwili choo na bafu
Ukubwa eka 8
Pote milioni 12
Panafaa kwa kilimo na ufugaji
[emoji95]VIWANJA KIGAMBONI MWEMBE MDOGO[emoji95]
UMBALI
[emoji3502]Km 22.6 kutoka Ferry.
[emoji3502]Km 24 kutoka kigambon Darajani
[emoji3502]Kutoka Kibada Center ni kilomita 15 hadi site
SIFA...
Usikubali kuingia 2024 bila kumiliki kiwanja. Pata kiwanja kibaha kwa Mfipa kwa mil. 2.5
Kutoka main road ni km.1.5
Huduma muhimu zote zipo
Wasiliana nami
0685223804
Shamba la heka 100 linauzwa lipo Kibaha:
1. Lipo umbali wa km5.4 kutoka morogoro road
2. Lipo barabarani
3. Limepimwa na lipo kwenye ramani ya mipango miji
4. Huduma za kijamii zipo
kwa...
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado...
Habari
Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19
Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo
Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma...
Kiwanja kipo maramba mawili eneo la king’azi, ukubwa 23 kwa 20,
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari,
2. Hakipo mbali na Barabara ya tanroad inayotokea maramba...
Nauza kiwanja cha viwanda vidogo DODOMA mjini eneo la Nala CHINANGALI, block EE, tazama kwenye picha kiwanja namba 384 SQM 3954, ni hatua chache toka barabara kuu ya kwenda singida, kiwanja kina...
Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini
Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi
Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya...
Karibu vikindu pwani wilaya ya mkuranga mtaa wa malela kisayan ujipatie kiwanja Kwa Bei nafuu ukubwa wa eneo ni futi 50 Kwa 40 Bei laki sita na huduma zote za kijamii zinapatikana Kwa muhitaji...
NAUZA KIWANJA UKUBWA WA MITA 20X20 (400SQM) KIBAHA KONGOWE, UMBALI WA KM 1 TOKA STAND/MOROGORO ROAD, BARABARA MAJI NA UMEME VIMEFIKA
BEI NI 5.5 MILLIONS
SIMU [emoji338]0784325299
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.