Kama nchi tunaendelea kulumbana kuhusu Covid-19. Hatujapata muafaka bado na tuna makundi mawili makubwa.
Kuna mambo ambayo yanaendelea lakini ni kwa kipindi kifupi na kwa gharama kubwa ya maumivu...
Watu tumekaa kumlaumu Rais wetu eti hajasema kuwa Corona ipo. Huu ni ujinga uliyopitiliza kwa kweli.Matendo Huwa yanasema kuliko maneno.
Mfano, Mzuri ni huu: Waziri Jafo alipotangaza Siku saba...
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema WHO haijapokea taarifa yoyote kutoka Tanzania juu ya hatua zinazochukuliwa na serikali kuhusiana na janga la...
Mseven adressing the nation
======
Rais Yoweri Museveni amewaonya wananchi wanaoenda kinyume na taratibu wakati huu wa vita dhidi ya #CoronaVirus akisema, Mungu ana kazi...
Taarifa ya WHO inasema kuwa maambukizi ya corona kwa wiki hii pekee yameshuka kwa 16%, na vifo kwa wiki hii pekee vimeshuka kwa 10%.
Tuiangazie Israel kama mfano wa kuigwa.
Israel ni Taifa dogo...
Msemaji wa Tanzania Dkt Hassan Abbas amesema Tanzania inakabiliana na janga la corona kwa kutumia dawa za asili.
Dkt. Abbas alimwambia mwandishi wa habari wa BBC, Salim Kikeke kuwa Tanzania...
Ndugu zangu tunazidi kuumbuka kuhusu janga la Corona.
Hadi niandikapo uzi huu, msimamo wa Serikali ya Rais Magufuli (si ya wananchi wa Tanzania) ni kwamba hakuna COVID-19 isipokuwa "changamoto ya...
TOKYO - Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan imetoa onyo kusitisha au kuahirisha kusafiri kwenda Tanzania kwa sababu ya hali mbaya ya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus.
=========
Japan warns...
Mkuu wa wilaya ya Hai,Mkoani Kilimanjaro,Lengai Ole Sabaya amewatoa hofu wananchi wa wilaya hiyo kuhusu maambukizi ya ugonjwa wa Corona kwa kuwataka wasiogope kusalimiana kwa mikono kama ilivyo...
(Reuters) - Britain is banning all arrivals from Tanzania and Democratic Republic of Congo from Friday to stop the spread of the South Africa COVID-19 variant, transport secretary Grant Shapps...
Maaskofu wa KKKT waliokutana jijini Arusha wamewaomba maaskofu kutoka Kenya kuishauri serikali yao iige mbinu za Tanzania ili iweze kudhibiti Corona na hatimaye kuitokomeza.
Source ITV habari...
Siku moja baada ya Rais wa Tanzania, John Magufuli kutaka wizara ya afya kutokukimbilia chanjo ya Corona, Shirika la Afya Duniani WHO imeitaka nchi hiyo kujiandaa na chanjo ya Corona kama mataifa...
Tanzania president raises doubts over COVID vaccines
President John Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are ‘dangerous’.
---
Tanzanian President John Magufuli has...
(Huu ni muhtasari wa tafsiri (isiyo rasmi sana) ya Oped iliyochapishwa na gazeti la The Citizen)
Katika mtanange wa kupata chanjo dhidi ya Coronavirus unaoendelea duniani, Tanzania inaweza...
Hakika hotuba aliyotoa jana Rais wetu Magufuli imeniacha na huzuni kubwa, kwa kuwa nilichobaini kutokana na hotuba hiyo ni kama maisha yetu watanzania wote, tumeyaweka rehani na kiyakabidhi...
Zanzibar’s Abeid Amani Karume Airport is failing on COVID-19 safety protocols
Abeid Amani Karume International Airport in Zanzibar has been Certified with the lowest 2-Star COVID-19 Airport...
Wajumbe GT's hamjambo?
Mwenye ufahamu anieleweshe; chanjo ya ugonjwa wa Corona 19 ni lazima au la?
Nimeuliza hivyo kwasababu zifuatazo:-
1. Kila mtu anaongea lakwake watu wanashindana kwa...
Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020
Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.