Hello,
Nmepata changamoto kidogo katika transferring ya money and the only option I'm left with ni kutumia crypto system, bad though am not good at using it
Any recommendations, procedures and...
Habari WanaJF,
Natafuta kazi ya udereva boda boda ,uvuvi na yeyote ile kikubwa inipatie kipato cha kujikimu, umri wangu ni 24 naishi hapa Dar pia Nina ELIMU ya chuo kikuu upande wa education in...
HABARINI ZA LEO WADAU WANGU.
Labda nirejeshe salam za upendo kwa mlioniombea wakati sina kazi na hatimaye nimefanikiwa kupata kazi kwenye taasisi kubwa sana katika Taifa hii.Hakika ni taasisi...
Mambo vipi ndugu zangu,
Nimepewa jukumu la kusimamia lodge yenye PUB pembeni, hii biashara bado mpya ndio kwanza inafunguliwa mwezi ujao, BOSS ananitegemea kwenye kila kitu kuhusi hii biashara...
Msaada kwa wenye uzoefu wa kuagiza mizigo China kwa kutumia ndege...ni agent gani mzuri ambaye anapokea mizigo kutoka kwa suplier na kuufukisha Tanzania kwa uaminifu na chargers zake per kg zikoje...
Habari Wana jukwaa, poleni na majukumu ya hapa na pale namuomba mungu awatilie wepes kwa Kila jema mfanyalo katika harakati zenu
Kama kilivokichwa cha habari, Mimi ni mjasiriamali chipukizi Nina...
Wadau wa Jamiiforums mnipe MBINU na njia sahihi ya uendeshaji wa Microfinance. Eli Mimi na wateja wangu wote tufaidike, wao wapate mkopi nafuu wenye kutimiza malengo yao, na Mimi nipate japo...
Habari wakuu!
Leo nimepita maeneo ya Kinondoni kuna kitu kimenishangaza sana,miezi kama sita iliyopita nilikunywa bar moja inaitwa Jacaranda bar pembeni yake ipo bar nyingine inaitwa uhuru peak...
Kiukweli fursa hii inamuhusu mtu yeyote aliye karibu na mjasiriamali haswaa mwenye uwezo wa kutumia simu[smartphone] au kompyuta [japo si lazima]. Kwa mjasiriamali mwenyewe soma barua yako...
Wana mazengo baada ya kufanya sana biashara hii ya kuagiza bidhaa nchi mbalimbali kama vile China, Turkey, India, oman nk. Kwa takriban miaka 7 sasa ikiwa ni mjumulisho wa miaka 4 bila eneo la...
Habari,
Tuna kampuni ambayo inadeal na utoaji wa services. Changamoto yetu kubwa ni mtaji mdogo. Mwaka huu kuna investor (Ndugu wa karibu), amesema atatusaidia kutatua changamoto hiyo kwa...
Natumai wote mko sawa humu ndani.
Naombeni msaada mtu yeyote au mfanyabiashara yeyote aliyepo Dar anipe maelekezo vizuri kuhusu mchele.
1. Bei zipoje sasa mashineni
2. Je ni kweli muda si mrefu...
Habari wadau! Kwa mnaoguswa na tozo kama mimi poleni sana.
Naomba kuutaarifu umma kwamba niko njiani kuingia kwenye biashara ya nguo za mtumba. Nimedadisi kiasi fulani nikaona nguo za mtumba ni...
Mbinu hizi zinapunguza utapeli sio full proof guarantee, kila muda zinagunduliwa mpya
Hapa niameorodhesha baadhi ya tahadhari za kuchukua ili kuliepuka hilo:-
01. Usiwe na haraka kwenye kufanya...
…Utafiti unaonyesha Kwamba…
“Katika kila Soft Drink tatu Zinatonywewa Marekani basi Mbili ni Cola Drinks”
Hii Inatuonyesha ni kwa Kiasi gani ni Ngumu Kuingia kwenye Soko la…
“SOFT Drinks”...
Wasalaam,
Title yajieleza. Kampuni gani kusafirisha parcel/package kutoka Uingereza (UK) kuja Tanzania?
Kampuni yenye unafuu wa gharama.
Apart from kina DHL, sijuwi FEDEX, na mapapa wenzao.
Kama Unathamini Laptop/Desktop yako Usikubali Hii Ikupite.
Habar Ndugu, hata kama umekuwa Ukitafuta Vifaa vya Laptop/Desktop kwa Kipindi cha nyuma bila Mafanikio leo kuna Suluhisho la Changamoto...
Heshima kwenu wakuu hope mapambano yanaendelea vyema leo ningependa ku share nanyi machache haya kuhusu biashara hapa nalenda zile biashara zinazouza bidhaa ambazo ni scalable hasa upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.