Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nimepata taarifa za kuhuzunisha juu ya kufariki kwa mshambuliaji hatari wa zamani wa Simba John Makelele Zig Zag pale Muhimbili juzi jioni.Kwa wale mliozaliwa miaka ya 2000, ni Makelele ndio...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamii wenzangu jana nimepata taarifa ya kusikitisha ya kifo cha Duncan Butinini aliyeugua kwa muda mrefu. Huyu alikua mwanasoka hodari miaka ya 90. Msiba upo Kimara kwao. RIP
1 Reactions
39 Replies
10K Views
Mino Raiola (54) ambaye ni Wakala wa Wachezaji wengi amefariki dunia baada ya kuugua kwa miezi kadhaa Raiola alilazwa katika hospitali ya Milan mnamo Januari 2022 na kufanyiwa upasuaji lakini...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Inna Lilah, Wa Inna Ilaihir Rajiuun, Aliyekua Katibu Mkuu wa Yanga Bwana Abdul Sauko amefariki leo Alfajir katika Hospital ya Mloganzila. Taarifa zaidi zitafuata ===== Abdul Sauko (kushoto)...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Beki wa KMC, Ally Sonso amefariki dunia leo katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na jeraha la mguu. Marehemu enzi za uhai wake aliwahi kuchezea timu za Yanga, Lipuli...
7 Reactions
84 Replies
10K Views
Hernan Mastrangelo ambaye alijulikana zaidi kwa jina la Don Hernandied amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 101, huyu anasifika kuwa shabiki wa Lionel Messi ambaye aliandika katika makaratasi...
3 Reactions
1 Replies
599 Views
Aliyekuwa winga teleza wa klabu ya Simba, Yahya Akilimali, amekutwa na umauti usiku wa kuamkia leo Jumamosi ya Oktoba 30, 2021 katika Hospital ya Maweni, Kigoma. Mazishi yatafanyika leo nyumbani...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Gwiji wa zamani wa Bayern Munich na timu ya Taifa ya Ujeruman bwana Gad Mullar amefariki dunia Jana akiwa na miaka 75. Miongoni mwa kumbukumbu anazokumbukwa nazo ni Kufunga goli 34 kwenye mechi...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Jean-Pierre Adams alikuwa mchezai PSG huko chini Ufaransa, baada kupata majeraha kulikuja kutokea bahati mbaya hospitalini kufanya oparesheni ambayo ilikuwa siyo na kupeleka kuwa kwenye coma miaka...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
aliyewahi kuwa mwenyekiti wa FAT taifa Sasa tff bwana Said el MAAMRY amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. ===== MWENYEKITI WA ZAMANI WA TFF, ALHAJ SAID HAMAD EL MAAMRY AFARIKI DUNIA AKIWA ANA...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Kipa wa Simba, Beno Kakolanya leo Agosti 19, 2021 asubuhi amefiwa na mama yake mzazi anayeitwa Eva Mwankusye na msiba upo kwao Isyesye jijini Mbeya. Taarifa za msiba huo zimethibitishwa na kaka...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kocha mashuhuri nchini bwana Hassan Banyai amefariki dunia leo. Enzi za uhai wake alikuwa ni miongoni mwa makocha waliopandisha timu nyingi daraja kama vile Mwadui na Njombe mji. Pia amewahi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanachama mkongwe wa Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Bagamoyo Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi...!!
9 Reactions
97 Replies
11K Views
Habari za kusikitisha kutoka zambia,mke wa mchezaji nguli wa simba sc amefariki dunia. === #ZSUpdates is saddened to learn the passing of Chipolopolo boys midfielder Clatous Chota Chama's wife...
9 Reactions
61 Replies
9K Views
Mchezaji wa Klabu ya Soka ya Hafla FC ya nchini Guinea Latige Camara amefariki dunia leo asubuhi baada ya kudondoka uwanjani akiwa mazoezini. Taarifa za awali kutokea nchini humo zinataja chanzo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mchezaji huyo amewapoteza wapendwa wake hao usiku wa kuamkia leo Ni huzuni kubwa Ni majonzi Taarifa zaidi kutolewa na Uongozi wa Yanga Chanzo: Msemaji wa Klabu - Nugaz --
3 Reactions
26 Replies
6K Views
Mocha ,promota na rais wazamani wa TPBO amefariki dunia. Leo 8/9/2020 Yassin Abdalah 'ostadh'. Rip ostadh Update zitakujia hapa hapa
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom