Thidanganyiki
Member
- Mar 25, 2015
- 47
- 59
Aliyekuwa winga teleza wa klabu ya Simba, Yahya Akilimali, amekutwa na umauti usiku wa kuamkia leo Jumamosi ya Oktoba 30, 2021 katika Hospital ya Maweni, Kigoma.
Mazishi yatafanyika leo nyumbani kwao Ujiji Kigoma.
Mazishi yatafanyika leo nyumbani kwao Ujiji Kigoma.